MOJA KWA MOJA: YANAYOJIRI UCHAGUZI MKUU TANZANIA
Watanzania wanapiga kura Oktoba 25 kumchagua mrithi wa Rais Jakaya Kikwete anayeondoka madarakani baada ya kuongoza kwa mihula miwili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s72-c/c.png)
NEWS ALERT: VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-gt3rR6blBkk/VfL9H9Oe92I/AAAAAAAH4F4/msGtYzjG7EY/s640/c.png)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa taarifa kuwa kuanzia leo tarehe 10 Septemba 2015, na katika kipindi chote cha kampeni za uchaguzi mkuu 2015, watu ambao sio wagombea wa udiwani, ubunge, urais, wasemaji rasmi wa vyama au watu wasioteuliwa na vyama vya siasa kama wawakilishi hawataruhusiwa kushiriki katika vipindi vya moja kwa moja (Live Programmes) vinavyohusu shughuli za uchaguzi vitakavyorushwa na vituo vya utangazaji.
Utaratibu huu unazingatia Kanuni Za Huduma Za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015 KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu tangazo lake lililotolewa kwenye vyombo vya habari tarehe 11 Septemba, 2015 kuhusu vipindi vinavyorushwa moja kwa moja wakati wa kampeni za uchaguzi
mkuu. Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UFAFANUZI WA TANGAZO LILILOTOLEWA TAREHE 11 SEPTEMBA, 2015
KUHUSU VIPINDI VINAVYORUSHWA MOJA KWA MOJA WAKATI WA
KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9uEJesv44M/VfVm59cJTMI/AAAAAAAH4VY/HZ414ZWboT8/s200/index.jpg)
mkuu. Ufafanuzi huu unatolewa kutokana na maoni...
9 years ago
Bongo506 Oct
Zari hawezi kuhamia Tanzania moja kwa moja — Diamond
Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady tayari wameziunganisha familia zao kwa kumpata mtoto wao wa kwanza Tiffah, lakini hakuna mpango wa mrembo huyo Mganda kuhamia moja kwa moja Tanzania ili kutengezeza familia moja. Diamond a.k.a Baba Tiffah licha ya kuwa amekuwa akitoa ahadi ya kufunga ndoa na Zari bila kusema lini, amesema kuwa hakuna […]
11 years ago
Habarileo14 Apr
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Moja kwa moja: Magufuli kukabidhiwa cheti Tanzania
Mgombea urais wa chama cha CCM John Magufuli leo anakabidhiwa cheti cha ushindi na tume ya uchaguzi baada yake kutangazwa mshindi Alhamisi.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
MOJA KWA MOJA:KUHESABIWA KWA KURA TANZANIA
Kura zinahesabiwa Tanzania baada ya uchaguzi kufanyika Jumapili kumchagua mrithi wa Rais Jakaya Kikwete.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g2CREGAJnrM/XmEEUbQOqdI/AAAAAAALhTs/PYgQsbH9lzM-rof9OIduiKC7WDApKq1kwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-05%2Bat%2B3.42.49%2BPM.jpeg)
ZAIDI ya wabunifu 700 nchini wamepata ajira za moja kwa moja
![](https://1.bp.blogspot.com/-g2CREGAJnrM/XmEEUbQOqdI/AAAAAAALhTs/PYgQsbH9lzM-rof9OIduiKC7WDApKq1kwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-05%2Bat%2B3.42.49%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Xu_LBBZpOQ/XmEEUa3aMlI/AAAAAAALhTw/_MGDXvdC0MooD24LiwBXlNNry-B0N0HQwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-05%2Bat%2B3.50.35%2BPM.jpeg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/fYpUPgvh1sk/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA MECHI ZA LIGI KUU YA UINGEREZA
Idhaa yako ya bbcswahili inakuletea ripoti za moja kwa moja za mechi za ligi kuu ya Uingereza Wkiendi hii
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania