Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MONA GANGSTAR: WASANII MIZIGO STOP CLASSIC SOUND

Mona Gangstar, akiwa mzigoni katika Studio za Classic Sound, zilizopo maeneo ya Kinondoni-Manyanya jijini Dar.  Na Mohammed Mdose PRODUZA wa muziki wa kizazi kipya kutoka studio ya Classic Sound, Monami Rangi 'Mona Gangstar' amewafungia vioo wasanii mizigo ambao wanataka kurekodi nyimbo zao bure ndani ya studio yake kwa kutumia umaarufu wao. Mona Gangstar amefanya kazi kibao na kuwatoa wasanii wakali ambao wanatesa kwa sasa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL KWA PRODYUZA MONA GANGSTAR NA KALA JEREMIAH , TANESCO NA NYAYA ZILIZOSHUKA

Mtayarishaji  wa muziki wa kizazi kipya ambaye ni mmiliki wa Studio Classic Sound, Monami Rangi “Mona Gangstar” akiwa katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo mpya wa mkali wa Hip Pop nchini, Kala Jeremiah, ambao haujabatizwa jina.
Mona Gangstar, aki-‘mix’  wimbo wa Kala Jeremiah katika Studio za Classic Sound, zilizopo maeneo ya Kinondoni -Manyanya.…
...

 

11 years ago

GPL

MAPRODYUZA MESEN SELEKTA, MONA GANGSTAR WATEMBELEA GLOBAL, WAFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Prodyuza Mesen Selekta akiwa tayari kwa mahojiano na presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'The Mic Queen'. Mesen Selekta katika pozi ndani ya Global TV.…

 

9 years ago

Bongo5

Mona G adai nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanapokosea, itumike pia kulinda kazi zao

Mtayarishaji wa muziki kutoka wa Classic Sound, Mona Gangster amelitaka Baraza la Sanaa la Taifa , ‘Basata’, kuongeza nguvu ya kupambana na wezi wa kazi za wasanii na sio kuishia kuwaadhibu tu wanapokesea.. Mona amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanaokwenda kinyume na maadili iende sambamba na ulinzi […]

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHO MWA FEBRUARY.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

11 years ago

GPL

MIRATHI YA GEORGE TYSON, MONA ACHARUKA

Oohoo nooo! Wakati aliyekuwa mumewe, George Otieno Okumu ‘Tyson’ (41) akipumzishwa kwenye nyumba ya milele huko Kisumu nchini Kenya, Yvone-Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’ amewacharukia watu waliodai alikuwa akijipendekeza msibani ili kupata mirathi ya mwanaume huyo. Muigizaji wa Bongo Muvi, Yvone-Cherry Ngatikwa ‘Monalisa’ akiwa na mwanaye, Sonia. Awali, Mona ambaye ni staa mkubwa wa sinema za...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Zimbabwe - Stop It Tanzania! Stop Provoking Us


IPPmedia
Zimbabwe - Stop It Tanzania! Stop Provoking Us
AllAfrica.com
Tanzania, please stop it. As our good first lady Dr Amai Soon-to-be-Professor Grace Mugabe says - please STOP IT!!! Stop trying to provoke us! From the time that your President, Dr John Pombe Magufuli (JPM), 55, was elected into office on October 25 ...
Can Magufuli convert potential into gains in Tanzania?NewsDay
Uncovered rot a sign of institutional failureIPPmedia
Be thankful you are not in Malawi Dr Magufuli, President of...

 

9 years ago

New Zimbabwe.Com

Stop it, Tanzania! Stop provoking Zim


New Zimbabwe.com
Stop it, Tanzania! Stop provoking Zim
New Zimbabwe.com
TANZANIA, please stop it. As our good first lady Dr Amai Soon-to-be-Professor Grace Mugabe says - please STOP IT!!! Stop trying to provoke us! From the time that your President, Dr John Pombe Magufuli (JPM), 55, was elected into office on October 25, ...
Lessons from a spider web: Why Obama wishes he was Magufuli right nowMail & Guardian Africa
Time for business sector to create robust partnership with govtIPPmedia

all 6

 

10 years ago

GPL

MZEE CHILLO AMUONGOZA MGHANA KUMUANGUKIA MONA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya/Risasi Mchanganyiko
MUIGIZAJI mkongwe, Ahmed Ulotu maarufu kama Mzee Chillo, hivi karibuni alimuongoza mtayarishaji wa filamu kutoka Ghana, Prince Richard kwenda kumpigia magoti mpenzi wake wa zamani, Yvonn Cherly ‘Monalisa’ baada ya kumkosea, lakini akajikuta akigonga mwamba kutokana na binti huyo kukataa. Muigizaji mkongwe, Ahmed Ulotu maarufu kama Mzee Chillo. ...

 

11 years ago

GPL

MONA AMFANYIA ‘SURPRISE’ BABA YAKE

Stori: Hamida Hassan
Staa wa filamu za Kibongo, Yvonne Sheryl  ‘Monalisa’ juzi kati alimfanyia sapraizi ya kumpelekea keki baba yake wa kufikia Alex Humba Lumila ambaye ni mume wa mama yake Suzan Lewis ‘Natasha’ katika siku yake ya kuzaliwa. Staa wa filamu za Kibongo, Yvonne Sheryl  ‘Monalisa’ akilishwa keki na baba yake mzee Alex Humba Staa huyo alifanya kisherehe hicho cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani