Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moshi waua wanandoa Katavi

WANANDOA Antony Charles (28) na mkewe, Sungolwa Paulo (22) aliyekuwa na ujauzito wa miezi saba, wakazi wa Kijiji cha Kasisi, Kata ya Ugalla, wilayani Mlele, wamefariki dunia baada ya kuvuta...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

10 years ago

Michuzi

From Moshi to Harvard Presentation by International School Moshi — This Saturday at Seacliff Hotel

International School Moshi welcomes you all to join us for a presentation and find out how we helped one of our students get into Harvard University. When: Feb 14th, 10:00 AM | Where: Sea Cliff Hotel, Dar es Salaam For more info please visit us on www.ismoshiarusha.org

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China

Mamlaka za China zimewatuhumu wana ndoa raia wa Canada wanaofanya biashara ya mgahawa nchini humo.

 

10 years ago

GPL

JOYCE KIRIA NA PATI YA WANANDOA

Hamida Hassan MWANAHARAKATI na mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria kwa kutambua adha wanazokutana nazo akina mama kwenye ndoa zao, ameandaa pati maalum kwa ajili ya kuwafunda, Risasi Jumatano linakupasha.. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1glgyiP

 

10 years ago

Habarileo

Wanandoa wauawa, wanyofolewa viungo

WATU wawili ambao ni wanandoa wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana na kisha wauaji hao kuchukua baadhi ya viungo vyao katika kitongoji cha Mwabasabi, wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philipo Kalangi alithibisha kutokea kwa tukio hilo usiku wa kuamkia Desemba 24 mwaka huu. Kamanda Kalangi aliwataja waliouawa kuwa ni Maduhu Mizingo ambaye ni mlemavu wa macho na mkewe aliyekuwa anamuongoza, Zawadi Sarehe (56), wote ni wakazi wa kijiji cha Mcharo wilayani hapa. Imeelezwa, watu hao waliuawa na watu hao wakati wakitoka kusaga nafaka katika kijiji hicho majira ya saa 2:00 usiku. Taarifa za awali kutoka katika kijiji hicho zinasema mauaji hayo yanatokana na mgogoro wa ardhi, ambapo kesi ya mgogoro huo iko mahakamani na watu wanaodaiwa kufanya mauaji hayo wake zao wanashikiliwa na polisi baada ya waume zao kukimbia. Mwenyekiti wa kijiji hicho, Matwiga Muga, aliwataja watu wanaotuhumiwa kufanya mauaji hayo ya kinyama kuwa ni mwalimu mstaafu Charles Mgogo na kijana wake Lunyangi Charles ambapo wote ni wakazi wa kijiji hicho na kwamba wametoroka. Alisema waliouawa walikuwa na mgogoro wa ardhi yenye ukubwa wa ekari moja na watuhumiwa hao, kwa kipindi kirefu, ikiwa ni pamoja na kumshambulia kwa kipigo mara kwa mara mlemavu huyo wa macho na kesi kufikishwa kwenye ofisi yake na kisha mahakamani. Ofisa Mtendaji wa kata hiyo, Waziri Kingi na Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, Betysheba Maingu, walisema mauaji ya wanandoa hao yaligunduliwa na mtoto wao wa kiume aliyekuwa anakwenda shambani majira ya asubuhi. Ilielezwa kuwa, mtoto huyo baada ya kufika katika eneo hilo aliuona mwili wa baba yake ukiwa umetelekezwa pembezoni mwa barabara, huku marehemu akiwa ameshikilia fimbo aliyokuwa anaitumia kumwongoza. Aidha, ilielezwa kuwa kijana huyo alipokagua katika eneo hilo alibahatika kuuona mwili wa mama yake ukiwa umekunjwakunjwa baada ya kucharangwa mapanga na kufichwa pembezoni mwa kichaka jirani kabisa na nyumbani kwao. Polisi walisema daktari aliyefanya uchunguzi wa mwili wa mwanamke ulibainika kunyofolewa baadhi ya viungo vikiwemo sehemu zake za siri, macho, titi la kulia na makalio. Aidha, alisema kuwa mwanamume huyo alikatwa panga kichwani na kutelekezwa katika eneo hilo ambapo mwili wake ulikutwa ukishambuliwa na wadudu wengi aina ya siafu.WATU wawili ambao ni wanandoa wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana na kisha wauaji hao kuchukua baadhi ya viungo vyao katika kitongoji cha Mwabasabi, wilaya ya Bunda, mkoani Mara.

 

11 years ago

GPL

WANANDOA COSMAS NA ROSE WAMEREMETA

Wanandoa Cosmas na Rose wakimeremeta wakati wa harusi yao iliyofungwa katika Kanisa la Mwananyamala na baadaye hafla iliyofanyika Mayfair Plaza, Mikocheni jijini Dar es Salaam. Maharusi wakipozi na kamati ya maadanlizi ya harusi.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanandoa watimiza miaka 80 pamoja

Wanandoa kutoka Bournemouth kusini mwa England, wanasherehekea miaka 80 ya ndoa yao.

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE NDESAMBURO NA MEYA WA MOSHI JAFARY MICHAEL WAENDELEA NA MIKUTANO KATIKA JIMBO LA MOSHI MJINI.

Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika jirani na Super Market ya Nakumat.Baadhi ya wananchi waliofika katika mkutano huo wakimsikiliza Ndesamburo.Baadhi ya viongozi wa Chadema akiwemo mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael wakimsilikiza Ndesamburo.Msatahiki Meya wa Manispaa ya Moshi,Jafary Michael akizungumza katika mkutano wa hadhara .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani