Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho apewa dakika 90 za Liverpool

Wamiliki wa klabu ya Chelsea wanaelekea kumchoka kocha Jose Mourinho kiasi cha kumpa mechi moja, sawa na dakika 90 dhidi ya Liverpool, Jumamosi kulinda kibarua chake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja

Shirikisho la soka barani Ulaya, limempa adhabu Meneja wa Chelsea Mourinho ya kuikosa mechi moja na kutakiwa kulipa faini ya pauni elfu 40 za uingereza.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea …

December 16 stori zilizopo kwenye mitandao mingi ya soka barani Ulaya ni kuhusu uamuzi wa uongozi wa klabu ya Chelsea kuhitisha mkutano wa dharura na kujadili mwenendo wa timu yao sambamba na kumjadili kocha Jose Mourinho. Nimekutana na video hii kutoka BBC ambayo wamekusanya matukio kadhaa ya Jose Mourinho akiwa hana furaha ndani ya Chelsea […]

The post Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jurgen Klopp apewa kandarasi Liverpool

Jurgen Klopp amekubali kandarasi ya miaka mitatu kuwa mkufunzi wa kilabu ya Liverpool.

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio)

Headlines za soka la kimataifa kwa sasa ni kuhusu uongozi wa klabu ya Chelsea kuamua kumuachisha kazi Jose Mourinho, taarifa ambazo zilitoka mchana wa December 17. Kila mtu kaongea lake ila AMPLIFAYA ya Clouds FM iliwatafuta wachambuzi na waandishi wa habari za michezo Edo Kumwembe na Saleh Ally kuhusu uamuzi wa Chelsea kumfuta kazi ni uamuzi […]

The post Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)

Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]

The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Liverpool watakuwa mabingwa

Kocha mkuu wa Chelsea Jose Mourinho anaamini kuwa klabu ya Liverpool ndiye bingwa wa ligi kuu ya England kwa msimu huu .

 

5 years ago

Liverpool Echo

Jose Mourinho proven right after comments about Jurgen Klopp's Liverpool

Jose Mourinho proven right after comments about Jurgen Klopp's Liverpool  Liverpool EchoVideo: Flashback - Liverpool secure dramatic Anfield comeback against Dortmund  Goal.comAlex Tettey says Liverpool should be given the Premier League title  Sportslens.comLiverpool ‘void’ claims could spectacularly backfire on Richard Keys and co  Liverpool EchoFans Without Football: 'We stuck the Madrid final DVD on to keep us ticking over'  AS EnglishView Full coverage on Google...

 

5 years ago

BBC

Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end

Liverpool's trip to Watford was supposed to be a landmark day for the Reds but it ended up being one for the wrong reasons, reports Gary Rose.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani