Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho:Liverpool watakuwa mabingwa

Kocha mkuu wa Chelsea Jose Mourinho anaamini kuwa klabu ya Liverpool ndiye bingwa wa ligi kuu ya England kwa msimu huu .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mourinho ahofia Ligi ya Mabingwa msimu ujao

MourinhoLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa timu yake kufuzu kwa Klabu Bingwa
barani Ulaya msimu ujao kutokana na mwenendo mbaya wa klabu hiyo.

Mwishoni mwa wiki iliyopita klabu hiyo ilikuwa kwenye uwanja wa nyumbani Stanford Bridge na kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao Bournemouth, kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini England.

Kichapo hicho ni cha nane katika michezo 15 ya Ligi Kuu, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa katika nafasi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mourinho apewa dakika 90 za Liverpool

Wamiliki wa klabu ya Chelsea wanaelekea kumchoka kocha Jose Mourinho kiasi cha kumpa mechi moja, sawa na dakika 90 dhidi ya Liverpool, Jumamosi kulinda kibarua chake.

 

5 years ago

Liverpool Echo

Jose Mourinho proven right after comments about Jurgen Klopp's Liverpool

Jose Mourinho proven right after comments about Jurgen Klopp's Liverpool  Liverpool EchoVideo: Flashback - Liverpool secure dramatic Anfield comeback against Dortmund  Goal.comAlex Tettey says Liverpool should be given the Premier League title  Sportslens.comLiverpool ‘void’ claims could spectacularly backfire on Richard Keys and co  Liverpool EchoFans Without Football: 'We stuck the Madrid final DVD on to keep us ticking over'  AS EnglishView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Mwananchi

Man City, Liverpool zaingia vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Klabu za Ligi Kuu England zina kibarua kigumu cha kufuzu kucheza hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo na kesho.

 

5 years ago

Michuzi

Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor, kuishuhudia Liverpool 'live'

 Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa bendera ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor wakiwa katika picha ya pamoja viongozi katika michezo.Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia  akizungumza wakati wa kuwaaga Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor  jijini Dar es Salaam leo, ambao...

 

10 years ago

Mwananchi

Lini watawala watakuwa wasikivu kwa wananchi?

Msimamo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa kusitisha kwa muda usiojulikana kufanyika kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu, umepokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa Watanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kurejea shuleni baada ya corona: 'Watoto watakuwa na wasiwasi hasa - lakini ni kawaida'

Virusi vya corona vimeathiri mambo ya msingi katika ukuaji wa watoto kijamii na kisaikolojia.

 

11 years ago

TZToday

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika
(Map of Pangea With Current International Borders)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani