Mourinho:Benitez aliiharibu Inter Millan
Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amemshtumu kocha wa Real Madrid Rafael Benitez kwa kuiharibu timu bora Ulaya baada ya Benitez kumrithi katika kilabu ya Inter Milan mwaka 2010.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 May
Real Madrid yawasiliana na Benitez
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Benitez nje Real Madrid,Zidane atawazwa
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Benitez: Ilikuwa heshima kubwa Real Madrid
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Benitez ndio kocha mpya wa Real Madrid
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuDGU1Nwjfp4I2vxb0cq88l799PdQg9VCE6NS3rFSVTXzaz3mAdyVmvVYgh6G9mASDswULpZIYVENQMRjh0IE80t/benetez.jpg)
RAFAEL BENITEZ ASAINI MIAKA 3 KUINOA REAL MADRID
9 years ago
Bongo524 Nov
Majibu ya Zinedine Zidane kuhusu kuchukua nafasi ya Rafael Benitez
![2706115700000578-0-image-a-9_1427721283259](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2706115700000578-0-image-a-9_1427721283259-300x194.jpg)
Baada ya mechi ya El Classico pamekuwa na tetesi kwamba Zinedine Zidane huenda akaichukua nafasi ya Rafael Benitez kwenye club ya Real Madrid.
Baada ya mchezaji wazamani wa Barcelona na Brazil Rivaldo ku-post kwenye mtandao wake wa instagram kwamba ni wakati wa Real Madrid kumpa nafasi Zidane ajaribu ku-manage club hiyo kama Pep Gurdiola alivyopewa nafasi na Barcelona.
Waandishi wa habari wamemtafuta Zidane ambae ni kocha wa kikosi cha vijana cha Real Madrid “Castilla” na yeye alijibu...
10 years ago
Bongo503 Jun
Rafael Benitez atangazwa kuwa kocha mpya wa Real Madrid