Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Movies za Kibongo Kushuka Bei Mwakani

Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.

Ambapo wameseama kuanzia mwezi wa pili mwakani CD moja iauzwa shilingi 1500 kwa bei ya rejareja badala ya shilingi 3000 iliyopo sasa.

Mbali na hayo wasanii waliazimia kuendeleza harakati za kupambana na wezi wa kazi zao.

Una maoni gani juu ya hili.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bei ya mafuta kushuka

Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix NgamlagosiMAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza mchakato wa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uingizaji wa mafuta nchini. Hatua hiyo itawezesha pia bei ya nishati hiyo nchini kushuka.

 

10 years ago

Habarileo

Umeme kushuka bei

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneBAADA ya kushuka kwa bei ya mafuta nchini, wakati wowote kuanzia leo Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) linatarajiwa kutangaza bei mpya za umeme ambazo zitakuwa na unafuu kwa wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Bei ya umeme kushuka

SERIKALI imesema inatarajia kuondoa mitambo yote inayotumia mafuta katika kuzalisha umeme ifikapo Januari mwakani. Hali hiyo itaokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka, lakini pia kuwapa Watanzania umeme wa uhakika na wa gharama nafuu.

 

10 years ago

Bongo Movies

Bei Mpya za CD Kuanzia Mwakani 2015

Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.

Ambapo wameseama kuanzia mwezi wa pili mwakani CD moja iauzwa shilingi 1500 kwa bei ya rejareja badala ya shilingi 3000.

Mbali na hayo wasanii waliazimia kuendeleza harakati za kupambana na wezi wa kazi zao.

Una maoni gani juu ya hili.

 

9 years ago

Mtanzania

Bei ya Petroli yazidi kushuka

FELIX NGAMLAGOS.MKURUGENZI EWURA TZNa Maneno Selanyika, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa, ikilinganishwa na bei ya mwaka jana.

Taarifa iliyotolewa na EWURA jana na kusainiwa na Mkurugenzi Mkuu wake, Felix Ngamlagosi, ilieleza kuwa bei hiyo elekezi itaanza kutumika kuanzia leo Januari 6.

Ngamlagosi alitaja sababu mojawapo ya kupungua kwa bei za mafuta ni kushuka kwa  bei za mafuta katika soko la dunia, pamoja na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei kushuka:Nigeria yatikisika

Waziri wa uchumi wa Nigeria, Ngozi Okonjo Iweala amewasilisha bajeti ili kuchukua hatua kwa kushuka bei ya mafuta kimataifa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bei ya umeme kuanza kushuka


Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Pan African Power Solutions (PAP) imesema bei ya umeme inaweza kuanza kushuka kutokana na ongezeko la umeme katika gridi ya taifa.
Hayo yalibainishwa Dar es Salaam, jana, na Mwanasheria Mkuu wa PAP, Joseph Makandege alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa kampuni hiyo.
PAP ilianza kuzalisha umeme baada ya kununua mitambo ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Hali hiyo inafuatia PAP kuzalisha megawati 100...

 

10 years ago

Habarileo

Mafuta yazidi kushuka bei

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix NgamlagosiMAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka zaidi kwa bei za bidhaa za mafuta hapa nchini kuanzia leo, kutokana na bei katika soko la dunia kuendelea kuporomoka.

 

11 years ago

Habarileo

Bei ya umeme mbioni kushuka

SERIKALI imetangaza na kusisitiza mpango wake wa kupunguza bei ya umeme kwa wananchi, utakaoanza mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlata (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani