Bei Mpya za CD Kuanzia Mwakani 2015
Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.
Ambapo wameseama kuanzia mwezi wa pili mwakani CD moja iauzwa shilingi 1500 kwa bei ya rejareja badala ya shilingi 3000.
Mbali na hayo wasanii waliazimia kuendeleza harakati za kupambana na wezi wa kazi zao.
Una maoni gani juu ya hili.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziEWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7,2015
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
EWURA yashusha bei ya mafuta ni kuanzia leo Januari 7, 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.
Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale, Habari za Jamii Blog
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati, Maji...
10 years ago
GPLEWURA YASHUSHA BEI YA MAFUTA NI KUANZIA KESHO JANUARI 7, 2015
10 years ago
Michuzi25 Jun
10 years ago
Vijimambo01 Jan
Heri ya Mwaka Mpya - Karibu Ibada ya Kwanza 2015 - Jumapili 01/04/2015 Kuanzia Saa tisa na nusu alasiri
Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015.
Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya.
Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!

10 years ago
Bongo Movies19 Dec
Movies za Kibongo Kushuka Bei Mwakani
Baadhi ya waigizaji na wadau wanaofanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment , leo asubuhi walitambulisha bei mpya na muonekano mpya wa DVD covers za filamu zao kwenye ukumbi wa habari maelelzo.
Ambapo wameseama kuanzia mwezi wa pili mwakani CD moja iauzwa shilingi 1500 kwa bei ya rejareja badala ya shilingi 3000 iliyopo sasa.
Mbali na hayo wasanii waliazimia kuendeleza harakati za kupambana na wezi wa kazi zao.
Una maoni gani juu ya hili.
10 years ago
Michuzi.jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA JUMATANO FEBRUARI 25, 2015 HADI JUMATATU MACHI 02, 2015
.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa ya Uongozi wa TRL iliotolewa jioni leo Februari 25, 2015 uamuzi wa kusitisha huduma hiyo umesababishwa na vichwa viwili vya treni hiyo kuharibika na kuhitaji matengenezo makubwa katika Karakana Kuu ya Morogoro .Taarifa imefafanua kuwa kwa vile kimebaki kichwa kimoja...
11 years ago
Michuzi
Vijiji 1,800 kupata mawasiliano ya simu, internet mwakani (2015) - Makamba
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa Tehama wa Africa (Capacity Africa), Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba alisema kuwa mpango huo upo katika hatua za mwisho na ifikapo mwaka 2017, jumla ya vijiji 4,000 zitakuwa vimepatiwa huduma hiyo.
Makama alisema kuwa serikali ipo katika hatua za mwisho kuzungumza...
10 years ago
Bongo522 Sep
Wizkid aahirisha tena kuachia album mpya mpaka mwakani (2016)!