Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPENZI GUITAR - JOHNNY FT ZAHIR ALLY ZORRO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Zahir Ally Zorro kuhusu kifo cha mwanamuziki BanzaStone

Photo Credits: Bongo5.comKatika kipindi cha MISHUMAA YA KALE (bofya hapa kukifuatilia) cha Julai 17, 2015, tulipata fursa ya kipekee kuzungumza na msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Zahir Ally Zorro, kuzungumzia kuhusu maisha na kifo cha msanii mwenzake Ramadhan Masanja, maarufu kama BanzaStone
Msikilize

 

9 years ago

Bongo5

Faiza Ally asema huenda ana ujauzito wa mpenzi wake Mmarekani

faiza AMzazi mwenzake na mbunge wa Mbeya mjini, Sugu – Faiza Ally, amedai kuwa huenda akawa ni mjamzito. Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Faiza alisema kutokana na hilo hadhani kama ataweza kurudiana na Sugu tena. “Sasa hivi nipo na mpenzi wangu na pengine naweza kuwa na mimba, not sure kwa sababu sijapima,” […]

 

5 years ago

BBC News

Beatles guitar valued at £400,000 on Antiques Roadshow

Beatles guitar valued at £400,000 on Antiques Roadshow  BBC NewsWatch Bob Dylan Perform ‘Just Like A Woman’ backed by George Harrison in 1971  Far Out MagazineAntiques Roadshow expert reveals enormous valuation of guitar owned by John Lennon  ExpressView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

Jaja Vs Zahir ni shiida, Maximo awaamua mara 3

Beki Rajab Zahir (kulia) dhidi ya Genilson Santos ‘Jaja’ (kushoto), wamekuwa na kazi ya ziada mazoezini. Richard Bukos na Sweetbert Lukonge
KWELI Yanga imepania kufanya kweli, kila mchezaji anataka kuonyesha uwezo wa juu, lakini ushindani huo umesababisha upinzani kuwa mkali kwa wachezaji wa timu hiyo, beki Rajab Zahir dhidi ya Genilson Santos ‘Jaja’, ambapo wamekuwa na kazi ya ziada...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

9 years ago

TheCitizen

There is no money in music, says Maunda Zorro

he was at one point considered as one of the brightest stars of Bongo Flava and after years in oblivion singer Maunda Zorro has thrown in the towel.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani