Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MRADI WA KUDHIBITI GUGUMAJI ZIWA VICTORIA WATAMBULISHWA CHATO

 Na Richard Bagolele  Mradi wa kutibiti gugumaji kanda ya ziwa chini ya ufadhili wa wa mradi wa hifadhi ya mazingira ya ziwa Viktoria awamu ya pili (LVEM II) umetambulishwa rasmi wilayani Chato.  Akiongea wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyofanyika kwennye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato mratibu wa mafunzo hayo Bw. Emanuel Kitabo amesema lengo la kutambulisha mradi huo kwa wadau mbalimbali wa Chato ni kuhifadhi na kutunza mazingira ya ziwa Victoria vikiwemo vyanzo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Usanifu mradi wa maji Ziwa Victoria wakamilika

SERIKALI inaendelea kutafuta fedha za utekelezaji wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi Tabora baada ya usanifu wa kina kukamilika. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, alieleza hayo bungeni...

 

5 years ago

Michuzi

Tabora Waanza Kunufaika na Mradi wa Maji Ziwa Victoria


Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

Mradi wa maji kutoka ziwa Victoria umeanza kufanya kazi na kuwanufaisha wananchi ambao wamepitiwa na mradi huo katika mkoa wa Tabora, na unatarajiwa kunufaisha wakazi wakazi Milioni 1.8 utakapokamilika.

Akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema mradi huo unaogharimu shilingi bilioni 600 utawanufaisha wakazi wa vijiji zaidi...

 

11 years ago

Habarileo

Mahenge akabidhi vitendea kazi mradi wa Ziwa Victoria

Naibu Waziri wa maji, Dk Binilith MahengeNAIBU Waziri wa Maji, Dk Binilith Mahenge amekabidhi vitendea kazi vya magari matano ya maji taka, matrekta nane pamoja na makontena 104 kwa wilaya mbili na mji wa Geita zinazotekeleza mradi wa uboreshaji wa huduma za maji na usafi wa mazingira wa Ziwa Victoria (LV WATSAN II).

 

10 years ago

Michuzi

MHE. KAMANI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA

Mgeni Rasmi Waziri wa Maendeleao ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (MB) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji wa Samaki ndani ya Ziwa Viktoria Kiteule cha Bulamba kwa kutumia teknolojia mpya ya vizimba (Cages). Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe.John Henjewele, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael M. Muhuga.Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akipandikiza...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki akagua miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mradi wa Kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II

Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala jana alishindwa kuzindua Mashine ya kuchakata Alizeti iliyotolewa na Mradi wa kuifadhi Mazingira wa Ziwa Victoria LVEMP II kwa sababu ya kuwa na kasoro ndogo ndogo za kiufundi na utendaji.
Akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Kilulu nje kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Juma alisema ikiwa ni ahadi yake ya kuzindua mashine hiyo lakini ameshindwa kufanya hivyo baada ya kutokeza kasoro za kiufundi na ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA

Mgeni Rasmi Waziri wa Maendeleao ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (MB) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji wa Samaki ndani ya Ziwa Viktoria Kiteule cha Bulamba kwa kutumia teknolojia mpya ya vizimba (Cages). Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe.John Henjewele, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael M. Muhuga.Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akipandikiza...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAJI ATEMBELEA MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA, KAHAMA,SHINYANGA NA KISHAPU


ZIARA ya naibu waziri ilianzia kwenye chanzo ca maji kitongoji cha Ihelele, kijiji cha Nyanghomango kwa kugagua chanzo, sehemu ya kutibu maji na kusukuma maji kisha kuongea na wananchi wa kijiji cha NysnghomangoAidha alikagua mradi unaoendelea kujengwa wa kupeleka maji miji ya mwadui, Maganzo na Kishapu.


Mradi huu mkubwa wa maji unagharimu shilingi bilioni 254 na una uwezo wa kuzalisha maji lita milioni 120 kwa siku lakini mpaka sasa unazalisha maji lita milioni 80 tu kwa siku na unahudumia...

 

5 years ago

Michuzi

MWAKA WA FEDHA WA 2020/ 2021 WIZARA YA MAJI KUFANYA USANIFU WA MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWENDA DODOMA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa, Kitila Mkumbo akizungumza mkoani Singida, mwishoni mwa wiki kwenye hafla ya kupokea mabomba ya maji ambayo ni sehemu ya Programu kubwa inayotekelezwa kwa nchi nzima katika mikoa 17, Singida ikiwa ni moja ya mikoa hiyo. Mkurugenzi wa RUWASA, Clement Kivegalo, akizungumza kwenye hafla hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa, Kitila Mkumbo.Meneja wa RUWASA Mkoa wa Singida, Mhandisi Lucas Saidi, akizungumza.Meneja wa Kiwanda cha kutengeneza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani