MREMBO AZIMISHWA USIKU
![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKEBHl*jOP*unS77Dty7PI9Rg7fUJpJIVZpHbrtJbCkXkTvXXjr4ts0IinZhxoytA9lIwU9VASXPQvxmscnkiq0ex/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
Dustan Shekidele, Morogoro Duh! Wakati magari ya serikali yanatakiwa kupaki saa 12 jioni, wiki iliyopita mrembo mmoja mkazi wa jijini Dar ambaye jina lake halikupatikana mara moja amefanyiwa kitu mbaya ndani ya gari la serikali usiku mnene baada ya kuzimishwa kwa pombe kali kisha kunusurika kubakwa. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri mishale ya saa 6:00 usiku kwenye Baa ya Break Point iliyopo maeneo ya Msamvu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci1IxelW-lMtQzMiiwyjuTezfs4jxpnYSu2ubQRELXbhkIDvMc5YwPt3fAGuHqC7yq53vOBweP2SMR4M0EDkBFbO/BACKPAGEAMANI.jpg?width=650)
AIBU FUNGA MWAKA! MREMBO WA BONGO MOVIE ANASWA USIKU MNENE
11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlk8yqtM5mv04011z8c4fiuiNjinx*LAGcYhCBkygaMQLH8M22ItgF8MPL5tdn4oF1tob3Tg66iEEC8TJBOaIA8/article26573901EBF352B00000578670_636x382.jpg?width=650)
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbRog78kShNuFvg6v*KMqFPMeguYPmXUvPBWNGvTBk48uyoEtFx847XFldTWGISzH5wXWX0bS*qxDIoa*BVxTpX/NetherlandsvsArgentina2014.jpg?width=650)
11 years ago
GPL10 years ago
Dewji Blog16 May
‘Usiku wa marafiki wa Lowasa’: Shetta, Dully Sykes hapatoshi Triple A usiku wa leo
Wasanii nyota wa kizazi kipya nchini Nurdin Billal ‘Shetta na Abdulwaheed Sykes ‘Dully Sykes’, jioni ya leo wanatarajia kupiga shoo kubwa katika onyesho la kundi la marafiki wa waziri mkuu mstaafu, Edward Lowasa lililopewa jina la “ Usiku wa marafiki wa Lowasa”.
Onyesho hilo limeandaliwa na kundi la marafiki hao wa Lowasaa chini ya umoja wao unaojulikana kama ‘4 U Movement’, linataraji kufanyika katika ukumbi wa burudani wa Triple A uliopo jijini Arusha ambapo mbali na wasanii hao pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NgeF1AcFBCg/VG8DvDzjMmI/AAAAAAABFqU/9q4IAHcTHG0/s72-c/IMG_2000.jpg)
FM ACADEMIA 'WAZEE WA NGWASUMA' YAMOTO BAND NA BARBANAS KUWASHA MOTO USIKU WA ONYESHO LA 'USIKU MWEUPE' JIJINI DAR
Na Mwandishi Wetu. FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Yamoto Band na Barbanas, kesho watakuwa na onesho maalum liitwalo 'Usiku Mweupe' litakalofanyika kwenye ukumbi wa Escape One, uliopo mikocheni Dar es Salaam.Mratibu wa onesho hilo Wiliam Malecela, alisema kuwa kila kitu kipo vizuri ambapo onesho hilo litaanza saa 3, usiku.Alisema kuwa dhumuni la kufanya onesho la pamoja kwa bendi hizo na msanii huyo anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya ni kutaka kuuinua muziki wa dansi ambao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s72-c/unnamed.png)
KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s640/unnamed.png)