Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrithi wa MCD Twanga kutambulishwa Mzalendo Pub leo

BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ usiku wa leo itafanya onyesho la aina yake katika kusherehekea Siku ya Wapendanao ‘Valentine’s Day’, kwenye ukumbi wa Mzalendo Pub Kijitonyama jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Academia kuitikisa Mzalendo Pub leo

BENDI  ya muziki wa dansi ya FM Academia, leo usiku itazindua albamu ya 10 katika ukumbi wa Mzalendo Pub ulioko katika  Jengo la Millenium Tower, jijini Dar es Salaam. Akizungumza...

 

11 years ago

GPL

MSIBA: MCD WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA!

Sudi Mohamed, 'MCD' (pichani, juu na chini) ambaye ni mpinga tumba maarufu nchini Tanzania amefariki dunia usiku huu akiwa Moshi ambako alikwenda kwa ajili ya matiabu zaidi yapata miezi mitatu iliyopita. Kwa mujibu wa kiongozi mmoja wa Bendi ya Twanga Pepeta, Meneja Hassani, MCD alipelekewa nauli ya kurudi jijini Dar esalaam leo ili arejee kesho lakini mauti yakamfika usiku mida ya saa tano na nusu. MCD amewahi kupiga katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

The Stars Band kuzinduliwa rasmi Eid Mosi ndani ya Mzalendo Pub

IMG-20150715-WA0008

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Bendi mpya  ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Anneth Kushaba inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikitarajiwa kusindikizwa na mwanamuziki Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’

Kiongozi wa Stars Band, Kushaba anasema kuwa, tayari wapo katika mazoezi mbalimbali na ‘crew’ nzima ya bendi hiyo ambayo inaunganisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani