Msekwa, Kisumo wakoleza moto
Wakati mjadala wa uteuzi wa mawaziri ukiendelea kupamba moto nchini, makada wakongwe wa CCM, Pius Msekwa na Peter Kisumo wamesema Rais Jakaya Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na habanwi na chama, wala mtu yeyote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wageni wakoleza ufahari Simba, Yanga
 Usajili wa wachezaji wa kigeni kwa klabu za Simba na Yanga ambao kwa msimu huu unatumia zaidi ya Sh400 milioni kwa mishahara ya wachezaji hao, umegeuka zaidi kuwa chanzo cha mabishano, ufahari miongoni mwa mashabiki wa klabu hizo.
10 years ago
Habarileo01 Jun
Mwigulu na Wassira wakoleza mbio za Urais
MAKADA wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba na Stephen Wassira wametangaza rasmi nia yao ya kutaka kuwania kupitishwa na chama hicho, kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Wakoleza juhudi kushawishi wasichana kusomea ufundi
Kwa muda mrefu kumekuwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali, asasi zisizo za kiraia na za dini kuhakikisha mtoto wa kike anapata fursa ya kupata elimu.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9qxsp8f7-co/Vn4-d5LPluI/AAAAAAAAXr4/DMWV4cB2mvU/s72-c/MIUPAA.png)
Waraghabishi wakoleza kasi ya mabadiliko wilayani Kishapu
![](http://4.bp.blogspot.com/-9qxsp8f7-co/Vn4-d5LPluI/AAAAAAAAXr4/DMWV4cB2mvU/s640/MIUPAA.png)
Na Krantz Mwantepele ,Kishapu
Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka.
Ili kufikia...
10 years ago
Daily News02 Aug
Msekwa new MoCU Chancellor
Daily News
Former Speaker of the National Assembly has been appointed Chancellor of Moshi Co-operative University (MoCU). At a ceremony held here on Friday, Mr Pius Msekwa was handed over the mantle by the interim Chancellor, Mr Al Noor Kassum. Mr Msekwa ...
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Msekwa amtolea uvivu Kingunge
Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amemrushia kombora kada mkongwe wa chama hicho, Kingunge Ngombale-Mwiru kuwa, hazijui vyema kanuni zinazoongoza mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho tawala.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Msekwa atoboa siri ya Muungano
>Wiki mbili kabla ya Tanzania kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa ametoboa siri ya Muungano huo akisema “mchakato wa kuundwa kwake ulifanywa kwa siri na haraka sana,†kutokana na upepo wa kisiasa na usalama wa kipindi hicho.
11 years ago
TheCitizen27 Jun
Analysts criticise Msekwa’s stance
>Recent remarks by a veteran politician and former Speaker, Mr Pius Msekwa, that Tanzania does not need to write a new Constitution was yesterday greeted with mixed reactions by political analysts, politicians, activists and other members of the public.
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania