Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msekwa, Kisumo wakoleza moto

Wakati mjadala wa uteuzi wa mawaziri ukiendelea kupamba moto nchini, makada wakongwe wa CCM, Pius Msekwa na Peter Kisumo wamesema Rais Jakaya Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na habanwi na chama, wala mtu yeyote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wageni wakoleza ufahari Simba, Yanga

 Usajili wa wachezaji wa kigeni kwa klabu za Simba na Yanga ambao kwa msimu huu unatumia zaidi ya Sh400 milioni kwa mishahara ya wachezaji hao, umegeuka zaidi kuwa chanzo cha mabishano, ufahari miongoni mwa mashabiki wa klabu hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Mwigulu na Wassira wakoleza mbio za Urais

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, akitangaza nia ya kuomba kuchaguliwa na CCM kugombea urais mwaka huu.MAKADA wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba na Stephen Wassira wametangaza rasmi nia yao ya kutaka kuwania kupitishwa na chama hicho, kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakoleza juhudi kushawishi wasichana kusomea ufundi

Kwa muda mrefu kumekuwa na jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali, asasi zisizo za kiraia na za dini kuhakikisha mtoto wa kike anapata fursa ya kupata elimu.

 

9 years ago

Michuzi

Waraghabishi wakoleza kasi ya mabadiliko wilayani Kishapu

 Watendaji wa Kituo cha Maendeleo cha Jamii ya Uchunga wilayani Kishapu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mbele ya jengo la kituo hicho likiwa limekamilika kutokana na michango yao ya fedha na nguvu kazi. 
Na Krantz Mwantepele ,Kishapu 
Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka.
Ili kufikia...

 

10 years ago

Daily News

Msekwa new MoCU Chancellor


Msekwa new MoCU Chancellor
Daily News
Former Speaker of the National Assembly has been appointed Chancellor of Moshi Co-operative University (MoCU). At a ceremony held here on Friday, Mr Pius Msekwa was handed over the mantle by the interim Chancellor, Mr Al Noor Kassum. Mr Msekwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

Msekwa amtolea uvivu Kingunge

Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amemrushia kombora kada mkongwe wa chama hicho, Kingunge Ngombale-Mwiru kuwa, hazijui vyema kanuni zinazoongoza mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho tawala.

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa atoboa siri ya Muungano

>Wiki mbili kabla ya Tanzania kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa ametoboa siri ya Muungano huo akisema “mchakato wa kuundwa kwake ulifanywa kwa siri na haraka sana,” kutokana na upepo wa kisiasa na usalama wa kipindi hicho.

 

11 years ago

TheCitizen

Analysts criticise Msekwa’s stance

>Recent remarks by a veteran politician and former Speaker, Mr Pius Msekwa, that Tanzania does not need to write a new Constitution was yesterday greeted with mixed reactions by political analysts, politicians, activists and other members of the public.

 

10 years ago

Mwananchi

Peter Kisumo afariki dunia

Muasisi wa Tanu na baadaye CCM, Mzee Peter Kisumo amefariki dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani