Msemaji Stamico aibiwa gari
MSEMAJI Mkuu wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico), Leornad Mwakalebela ameibiwa gari lake aina ya Spacio huko nyumbani kwake maeneo ya Tabata Kwa Baharia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Waziri aibiwa gesti
WIMBI la uhalifu limeendelea kushamiri katika nyumba za wageni hapa nchini ambapo safari hii watu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka wamemwibia nguo na fedha Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi,...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Balozi aibiwa simu Ikulu
SHEREHE za maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zimekuwa chungu kwa balozi mmoja nchini, baada ya kuibiwa simu yake ya mkononi yenye thamani ya zaidi ya sh milioni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgbRXhy83FnPyZsUTc5ie0qshVM7rHAT7AQGFFlPUqqyGSIrOjZ*e9XtuWLDyiAAUtLJDParBtff4Fo8ljp6JUli/klinikcopy.jpg?width=650)
MAMA AIBIWA MTOTO KLINIKI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OpBPOCzDX6TPQWm0cd0gr97xw4annrc4DoKTPA7d57A7px6gR61gCrlCea3*eLEQfjXx-Z3oT8qNKtln4LXGLn/KajalaIJUMAA8000000000000.jpg?width=650)
KAJALA AIBIWA NGUO YA NDANI KIUCHAWI
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Nyong'o aibiwa vazi lake la bei Mbaya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGG5Z15sSYzsCwuGOQDl0Vc4O1sjJcH1ED8xleUS3u7OKm3WXdATeWl7q9CwZ3wnlNe*9zEF2m-bCRrGzc7qH*IB/wema.jpg?width=650)
MAMA WEMA AIBIWA HATI YA KIFO CHA MUMEWE
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ym9FR2BsclM/UxhWp-V-T8I/AAAAAAAFRYU/9vXq67Hpthw/s72-c/banner.jpg)
STAMICO yaipongeza SUMA JKT
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ym9FR2BsclM/UxhWp-V-T8I/AAAAAAAFRYU/9vXq67Hpthw/s1600/banner.jpg)
SHIRIKA la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa, SUMA JKT, limepongezwa kwa juhudi zake katika kuhakikisha ulinzi unaimarika katika maeneo ya mgodi wa STAMIGOLD uliopo Biharamulo Kagera.
Mgodi huo kwa sasa umekabidhiwa kwa serikali ambapo unaendeshwa chini ya shirika la madini la STAMICO.
Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa STAMICO, Rumisha Kimambo katika kikao kilichojumuisha Bodi yake na uongozi wa mgodi wa huo kilichofanyika...