Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri aibiwa gesti

WIMBI la uhalifu limeendelea kushamiri katika nyumba za wageni hapa nchini ambapo safari hii watu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka wamemwibia nguo na fedha Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI

MFANYABIASHARA maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini Dar, aliyefahamika kwa jina moja la Devi, hivi karibuni alipatwa na soni ya aina yake baada ya kukutwa katika nyumba ya kulala wageni akiwa na mke wa rafiki yake wa karibu. Mfanyabiashara maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Devi baada ya kufumaniwa na mke wa rafikiye. Mtoa habari makini aliliambia gazeti...

 

11 years ago

Habarileo

Msemaji Stamico aibiwa gari

MSEMAJI Mkuu wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico), Leornad Mwakalebela ameibiwa gari lake aina ya Spacio huko nyumbani kwake maeneo ya Tabata Kwa Baharia.

 

10 years ago

GPL

MAMA AIBIWA MTOTO KLINIKI!

Dustan Shekidele, Morogoro Inauma sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Martha Masawe (20), mkazi wa Kilakala mkoani hapa, ameibiwa mtoto mchanga mwenye umri wa siku 34 akiwa katika Hospitali ya Nunge, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori. Martha Masawe akiwa kwenye foleni. Tukio lililofanywa kimafia lilijiri Ijumaa iliyopita saa 7:00 mchana wakati Martha akiwa kwenye foleni. Akihojiwa na Ijumaa Wikienda huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi aibiwa simu Ikulu

SHEREHE za maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zimekuwa chungu kwa balozi mmoja nchini, baada ya kuibiwa simu yake ya mkononi yenye thamani ya zaidi ya sh milioni...

 

10 years ago

GPL

KAJALA AIBIWA NGUO YA NDANI KIUCHAWI

Imelda mtema
MAUZAUZA! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amepatwa na dhahama ya aina yake baada ya kuibiwa nguo yake ya ndani kimazingara kisha kuikuta nje ikiwa imeloa damu, Ijumaa lina mchapo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo makini, mara nyingi Kajala ana kawaida ya kufua na kuzianika nguo hizo ndani lakini katika mazingira ya kutatanisha moja ilipotea na kila alipofanya jitihada za kuitafuta, hakuiona....

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyong'o aibiwa vazi lake la bei Mbaya

Vazi la gharama ya zaidi ya dola 150,000 lililokuwa likivaliwa na msanii huyo lainbiwa

 

11 years ago

GPL

MAMA WEMA AIBIWA HATI YA KIFO CHA MUMEWE

Stori: Makongoro Oging’ na Imelda Mtema NI balaa ni nini? Mariam Athuman Sepetu ambaye ni mama mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ametinga katika Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar kutoa taarifa ya kupotelewa hati ya uthibitisho ya kifo cha mume wake, marehemu Isaac Sepetu. Mariam Athuman Sepetu ambaye ni mama mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Vyanzo vyetu toka ndani ya jeshi la...

 

11 years ago

GPL

BALAA GESTI

Stori: MWANDISHI WETU
DUNIA ina mambo jamani! Mfanyabiashara wa madini aliyefahamika kwa jina moja la Jimmy amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufumaniwa na mkewe akiwa na kimada gesti. Tukio hilo lililofunga mtaa kwa kujaza wambea kibao, lilitokea hivi karibuni ndani ya gesti hiyo (jina tunalo) Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo mke wa mfanyabiashara huyo (jina halikupatikana mara moja), alimnasa mumewe  akijiandaa...

 

11 years ago

GPL

TIMBWILI GESTI!

TIMBWILI la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu aliyedai ni mjomba wake, Joseph akiwa na mkewe wa ndoa, Emiliani. Mjomba wa Kelvin(Joseph) akimsihi Mpwa wake amsamehe mara baada ya kukutwa gesti na mke wa Kelvin. Mkasa huo wa ajabu ulijiri usiku wa Jumamosi iliyopita kwenye gesti hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani