TIMBWILI GESTI!

TIMBWILI la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu aliyedai ni mjomba wake, Joseph akiwa na mkewe wa ndoa, Emiliani. Mjomba wa Kelvin(Joseph) akimsihi Mpwa wake amsamehe mara baada ya kukutwa gesti na mke wa Kelvin. Mkasa huo wa ajabu ulijiri usiku wa Jumamosi iliyopita kwenye gesti hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI
11 years ago
GPL
TIMBWILI WODINI
10 years ago
GPL
TIMBWILI MSIBANI
11 years ago
GPL
TIMBWILI LA MWAKA MPYA
11 years ago
GPL
AISHA BUI AZUA TIMBWILI
10 years ago
GPL
MAINDA AINGILIA TIMBWILI LA MDOGOWE
11 years ago
GPL
MSANII AIBUA TIMBWILI KANISANI!
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Timbwili laibuka mkutano Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MKUTANO mkuu wa dharura wa klabu ya Simba ulifanyika jana kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam, huku ukiibua timbwili baada ya baadhi ya wanachama kutoleana lugha chafu.
Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama 514, lakini sehemu kubwa ya viti ilionekana kuwa tupu tofauti na ilivyotarajiwa, huku ukihusisha ajenda tatu, ya kwanza ambayo ni kubwa ilihusu kujadili mwenendo wa mbaya wa Simba kwenye Ligi Kuu ya Vodacom.
Ajenda ya pili...
11 years ago
GPL
TIMBWILI LA KUSHIKANA UCHAWI LATIKISA