Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAINDA AINGILIA TIMBWILI LA MDOGOWE

Stori: Mwandishi Wetu
STAA wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’, Jumapili iliyopita alijikuta akigeuka baunsa wa kujitegemea na kuamulia ugomvi ambao unadaiwa kuwa chanzo chake ni mdogo wa mwigizaji huyo, Rose Peter ‘Muna’. Mtangazaji wa Clouds TV, Castro Dickson.
Kwa mujibu wa chanzo makini, kwenye tukio hilo lililotokea katika Hoteli ya Lamada, Ilala jijini Dar, uliibuka ugomvi kati ya mwanamuziki...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TIMBWILI MSIBANI

Imelda Mtema TAFRANI! Timbwili la aina yake liliibuka hivi karibuni Kiwalani Mivinjeni jijini Dar es Salaam kwenye mazishi ya kijana aitwaye Jackson mwenye umri wa miaka 28, baada ya dada yake kutaka kumpiga mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Monica, aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wa marehemu akimhusisha na kifo hicho, Ijumaa lina mkasa kamili. Habari kutoka msibani hapo zilidai kuwa, awali marehemu Jackson alikuwa ni mfanyabiashara...

 

11 years ago

GPL

TIMBWILI WODINI

Stori: Dustan Shekidele,Morogoro Timbwili! Katika hali ya kusikitisha mgonjwa Yasin Jailan (15) aliyekuwa wodini anadaiwa kukata roho huku dokta akizichapa kavukavu na wagonjwa, Ijumaa Wikienda limenasa kisa cha ajabu. Mwili wa marehemu Yasin Jailan (15) aliyekata roho ndani ya wodi namba tisa katika Hospitali ya Rufaa ya Morogoro huku dokta akizichapa kavukavu.
Akiwa mitaani akisaka matukio, mwanahabari wetu alivutiwa waya...

 

11 years ago

GPL

TIMBWILI GESTI!

TIMBWILI la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu aliyedai ni mjomba wake, Joseph akiwa na mkewe wa ndoa, Emiliani. Mjomba wa Kelvin(Joseph) akimsihi Mpwa wake amsamehe mara baada ya kukutwa gesti na mke wa Kelvin. Mkasa huo wa ajabu ulijiri usiku wa Jumamosi iliyopita kwenye gesti hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Malinzi aingilia uchaguzi Simba

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameingilia wa uchaguzi wa Simba baada ya kutangaza kuusimamisha kwa madai ya kutoundwa kwa kamati za maadili.

 

9 years ago

Mwananchi

DC aingilia mgogoro sugu wa maji

Serikali ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara, imeunda tume kuchunguza mgogoro baina ya Mamlaka ya Maji ya Mji wa Gallapo (Gawaso) na wananchi baada ya kugoma kulipa ankara na kukatiwa maji.

 

11 years ago

GPL

MZUNGU AINGILIA PENZI LA WEMA

Stori: Erick Evarist MALOVEE? Mzungu aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Zdravko Logarusic ‘Loga’ anadaiwa kuingilia penzi la mwigizaji Wema Sepetu.
Ishu hiyo imebumburuka ikiwa ni siku chache tangu Diamond atangaze kuwa hayupo tayari kuoa akidai atashuka kimuziki. Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Zdravko Logarusic ‘Loga' akipata ukodaki na Wema Sepetu ndani ya ofisi za Global. KUMBE ALIMZIMIA KITAMBO
...

 

11 years ago

GPL

TIMBWILI LA MWAKA MPYA

Stori: Shakoor Jongo
MWAKA ulianza vibaya kwa mke wa mtu ambaye jina lake halikupatikana mara moja kumkimbia mumewe na kumfuata mume wa msanii wa filamu, Ndumbangwe Misayo ‘Thea’ aitwaye Michael Sangu ‘Mike’ jambo lililosababisha ale kichapo cha nguvu na kuuanza mwaka mpya vibaya. Tukio hilo lililovuta hisia za wengi, lilitokea siku ya mkesha wa mwaka mpya, usiku wa kuamkia Jumatano, katika Ukumbi wa...

 

9 years ago

Habarileo

DC aingilia madai ya vibarua wasambaza umeme

MKUU wa Wilaya ya Arumeru, Wilson Mkambaku ametoa siku 30 kwa kampuni za Angelique International Ltd na East African Electrical Power zinazodaiwa kuwatapeli wafanyakazi wake, kuhakikisha zinalipa Sh milioni 720 wanazodai wafanyakazi hao.

 

10 years ago

Habarileo

Kandoro aingilia kati sakata la mjamzito

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas KandoroSAKATA la unyanyasaji aliofanyiwa mjamzito Judith Komba siku ya kujifungua katika hospitali ya Rufaa kitengo cha wazazi cha Meta, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kuagiza wauguzi waliokuwa zamu siku ya tukio wachukuliwe hatua stahiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani