MSHABIKI MBARONI KWA MADAI YA TIKETI FEKI
![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaF7uY5Rt7re2OJx0IruleW3FHPZ4mWrgYS4YJJ1LuMJ-3-O11wnTlTyFTEwcyc6YvT5yTJDzS7WCzFIwQIhbNk5/1tiketi.jpg?width=421)
SHABIKI mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi akidaiwa kukutwa na tiketi bandia kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Mbeya City iliyochezwa jana (Februari 2 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Matei Cosmas (28) ambaye ni mkazi wa Buza Njiapanda Kitunda, Dar es Salaam amefunguliwa jalada namba CHA/IR/900/2014 kwenye Kituo cha Polisi Chang’ombe akidaiwa kupatikana na tiketi bandia. Shirikisho la...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Dec
IGP akanusha kufuta askari kwa madai ya vyeti feki
MKUU wa Polisi nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amekanusha kufutwa kazi kwa askari kadhaa wanaodaiwa kuwa na vyeti feki kama iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii juzi na akasema Jeshi lake linamtafuta mtu ambaye amesambaza taarifa hizo alizoita za uzushi.
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
11 years ago
GPLPOLISI FEKI WATIWA MBARONI
11 years ago
Michuzi03 Jun
Polisi Feki watiwa mbaroni mkoani Iringa
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa,Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro ,kulia ni Bazil Nyakunga ambae ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bossi wake Godlack Mbehale.
Na Francis Godwin,Iringa
MATAPELI washindwa kubaki njia kuu sasa waanza michepuko mipya ni baada ya jeshi la polisi mkoa wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqW0mUepe0BGFwufOGk1mmp1d4fxGmRcI24gfah2Drcty*8XSq-07v4Sbki8pw6NQ5y7pY0F4*VgDKHLwbNn4S4/KOPLOFEKI3.jpg?width=650)
MWANAJESHI FEKI ATIWA MBARONI TANGA AKITAKA KUMTAPELI DC
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DHe8tUiy8Q/UvPctsSehNI/AAAAAAAFLTY/fRwdUU9H6XE/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TANAPA WAWATIA MBARONI WAUZAJI WA PEMBE FEKI ZA FARU
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DHe8tUiy8Q/UvPctsSehNI/AAAAAAAFLTY/fRwdUU9H6XE/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Filamu Ya ‘Chungu Cha Tatu’ Yamalizika Sokoni , Wauza Feki Mbaroni
![JB](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb34.jpg)
JB
Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.
Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.
“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uF-jR-abTls/XkThoCHKsPI/AAAAAAAAuyM/IVUvswzR-u0Vc8keXjQERN6jOR78a93wgCLcBGAsYHQ/s72-c/EC9zhJnXsAUMZlO.jpg)
MUUGUZI ALIYETUMBULIWA VYETI FEKI MBARONI KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI NA KUMSABABISHIA KIFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uF-jR-abTls/XkThoCHKsPI/AAAAAAAAuyM/IVUvswzR-u0Vc8keXjQERN6jOR78a93wgCLcBGAsYHQ/s640/EC9zhJnXsAUMZlO.jpg)
Aliyeuawa ni mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi Kilima, ambapo mtuhumiwa huyo alimtoa mimba kwa njia isiyokuwa halali na salama.
Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema kuwa tukio hilo lilitokea Februari 08 mwaka huu nyumbani kwa Vedastina Cleophace, huku Kahwa ambaye...