MSHAMBULIAJI GEBO PETER AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mshambuliaji wa zamani wa Sigara na Simba, Gebo Peter amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Beki wa zamani wa Yanga, Bakari Malima ‘Jembe Ulaya' amethibitisha taarifa za kifo hicho.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
TFF yamlilia Gebo Peter
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha nyota wa zamani wa timu ya Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Gabriel ‘Gebo’ Peter, kilichotokea usiku wa kuamkia...
10 years ago
Mwananchi04 Aug
10 years ago
Mtanzania04 May
Peter Bunor afariki dunia Nigeria
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa filamu nchini Nigeria, Peter Bunor, amefariki dunia Mei mosi mwaka huu baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi.
Kupitia mitandao ya kijamii, mtoto wa marehemu Peter Bunor Jnr, alithibitisha kifo hicho kwa kuandika: “Baba yangu, rafiki yangu, mwalimu wangu amefariki dunia leo.”
Bunor alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa huo kwa muda mrefu, hata hivyo aliwahi kusema kuwa marafiki wake wa karibu wamemtelekeza.
Msanii huyo mwaka 2010 alipongezwa na kituo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AYe8ydNDnQA/VcB7HAf5EfI/AAAAAAABTGo/s8c9Qmk1yJc/s72-c/kisumo.jpg)
MZEE PETER KISUMO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AYe8ydNDnQA/VcB7HAf5EfI/AAAAAAABTGo/s8c9Qmk1yJc/s400/kisumo.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9A8OISF5T-8/U5G3X4tvOLI/AAAAAAAFoCk/82wbteLm7-M/s72-c/TFF+Logo.jpg)
TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA MSIBA WA GEBO PETER
![](http://3.bp.blogspot.com/-9A8OISF5T-8/U5G3X4tvOLI/AAAAAAAFoCk/82wbteLm7-M/s1600/TFF+Logo.jpg)
Gebo aliyezaliwa mwaka 1961, pia aliwahi kuchezea timu za Sigara ya Dar es Salaam, CDA ya Dodoma na kombaini ya Mkoa wa Dar es Salaam (Mzizima United). Hadi mauti yanamkuta alikuwa akijishughulisha na biashara, kubwa ikiwa ya vifaa vya...
11 years ago
Michuzi06 Jun
BREAKING NYUZZZZ....: MCHEZAJI WA ZAMANI WA TIMU YA SIMBA,GEBBO PETER AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
GLOGU YA JAMII INAFATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA HUO NA TUTAENDELEA KUTAARIFIANA KADRI TUTAKAVYOKUWA TUKIZIPATA.
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0nbIgNWoGaZxEWkdpBombrWnslBw*tWNZQ12Diyq1lyrNxh-sHULeG*CNuOBDttAdCeUZMHeF0Cwg**UTo-1vwp/peter1.jpg?width=650)
PETER O’TOOLE WA ‘LAWRENCE OF ARABIA’ AFARIKI AKIWA NA MIAKA 81
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...