Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshambuliaji Tunisia alikuwa na washirika

Mtu aliyewashambulia watalii katika pwani ya Tunisia na kuwaua zaidi ya watu thelathini inaaminika alikuwa na washirika waliompa silaha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa Tunisia alikuwa Libya

Maafisa wanasema Seifeddine Rezgui alipokea mafunzo ya kivita ndani ya Libya sawa na washambuliaji wa makavazi mjini Tripoli

 

10 years ago

BBCSwahili

FBI:Mshambuliaji alikuwa amejihami

Shirika la ujasusi la Marekani FBI linasema kuwa mwanamme ambaye alishambulia kituo cha kijeshi alikuwa na bunduki mbili

 

9 years ago

Bongo5

Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja

Albert Mangwair alikuwa ni rapper genius, kwa mujibu wa Izzo Bizness. Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Izzo amesema alifahamiana na Ngwair tangu yuko Mbeya kabla ya kuja kumshirikisha kwenye ngoma yake ‘Ball Player’ wakiwa na Quick Rocka. “Ngwair ni mtu ambaye nilisema angeamua, angekuja kuvunja historia ya muziki labda Tanzania,” anasema Izzo. “Alikuwa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Washirika wa Boko Haram

Genge moja huko Niger limezungumza na BBC, likisema limeshirikiana na kundi la wapiganaji wa Boko Haram na kwa kufanya hivyo wakapata pesa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washirika wa shambulizi Ufaransa wasakwa

Polisi nchini Ufaransa wamesema kuwa wanawasaka washirika wa mhusika wa shambulizi la kigaidi Amedy Coulibady.

 

10 years ago

Habarileo

Washirika wa maendeleo wakamilisha uchangiaji

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kabla ya soma bajeti ya Serikali kwa huu wa fedha mjini Dodoma.WASHIRIKA wa Maendeleo nchini wanaosaidia bajeti wamekubali kutoa asilimia tano ya fedha zilizokuwa zimebakia ili kukamilisha uchangiaji wa bajeti kwa mwaka 2014/15 baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya sakata la wizi wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria ina imani na washirika wake

Rais Bashar al-Assad amesema ana imani kwamba Urusi na Iran zitasimama kidete naye licha ya tuhuma kwamba huenda zikamtenga

 

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKA WA MAENDELEO WARIDHISHWA MRADI WA UMEME KINYEREZI

Baadhi ya Washirika wa Maendeleo wakipita jirani na unapojengwa mmoja wa mitambo wa kupokea gesi katika eneo la Kinyerezi, Jijini Dar es Salaam, walipotembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kupokea gesi. Pichani ni mmoja wa Mtambo wa kuzalisha umeme ambao ni miongoni mwa mitambo itakayotumiwa katika kuzalisha kiasi cha megawati 150 za umeme katika Mradi wa Kinyerezi I. Meneja Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha kuzalisha Umeme cha Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

 

10 years ago

Habarileo

TAJA yaijia juu MCT, washirika wake

CHAMA cha Waandishi wa Habari Tanzania (TAJA) kimeshutumu kile kilichodai ni mlolongo usiokwisha wa kukwamisha jitihada za serikali, zinazolenga kuendeleza tasnia ya habari, ikiwamo kutoa uhuru wa habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani