Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSHINDI WA MIL 10 WA CHAMPIONI MAHELA APATIKANA

MC Chaku (kushoto) akiwa na mmoja ya mkazi wa mbagala tiyari kwa kuchagua mshindi wa Championi Shinda Mahela. ...Kuponi za Championi Shinda Mahela.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MSHINDI WA MILIONI 10 ZA CHAMPIONI SHINDA MAHELA AKABIDHIWA MPUNGA WAKE

Mkurugenzi wa Global Publishers & General Enterprises Ltd, Marsha Bukumbi akimkabidhi mfano wa  hundi ya shilingi milioni 10 mshindi wa shindano la Championi Mahela, Kizito George Chuma (kushoto). Kizito George Chuma akiwa ameshika mfano wa hundi yake ya milioni 10.…

 

11 years ago

GPL

Droo ya pili Shinda Mahela na Championi ni Desemba 23

Na Mwandishi Wetu
DROO ya pili ya Shinda Mahela na Championi inatarajiwa kufanyika Desemba 23, mwaka huu kwa ajili ya kuwapa zawadi za Krisimasi washindi wake. Dereva bajaj akijaza kuponi ya Promosheni ya Shinda Mahela na Championi. Zawadi ambazo…

 

11 years ago

Michuzi

MDAU KIZITO ASHINDA MILIONI 10 ZA 'CHAMPIONI MAHELA' AKIWA KWENYE DALADALA

BAADA ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye, mshindi wa milioni 10 amepatikana kupitia droo ya Shinda Mahela na Championi ambaye ni Kizito George Chuka.
Droo hiyo iliyochezeshwa mbele ya Msimamizi wa Bodi ya Bahati Nasibu, Mrisho Milao kwenye Viwanja vya Mbagala- Zakhem jana Jumanne.
Akizungumza Kizito ambaye ni makazi wa Kawe jijini Dar alipopigiwa simu na muendeshaji wa shughuli hiyo MC Chaku, mshindi huyo alikuwa ndani ya daladala hivyo hakuwa na mengi ya kuongeza zaidi ya kushukuru kwa...

 

11 years ago

GPL

MSHINDI WA SHINDA MAHELA AKABIDHIWA ZAWADI ZAKE MBEYA

Mshindi wa Dinner Set katika Promosheni ya Shinda Mahela na Gazeti la Championi, Justin Francis (kulia), akikabidhiwa zawadi zake na Wakala wa Global, Mohammed Lalika. Justin Francis akikagua zawadi…

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA TUZO YA USHAIRI APATIKANA

Washindi wa tuzo za ushairi wa kwanza kulia ni mshindi wa pili Rashidi Abdu Rai, katikati mshindi wa kwanza Esther Mgondo na Sylvin Makila aliyeshika nafasi ya tatu. Mgeni rasmi Profesa Helman Mwansoko akizungumza jambo.…

 

9 years ago

Michuzi

MSHINDI DROO YA TATU EXIM APATIKANA

Meneja Utendaji na Huduma kwa wateja Benki ya Exim Tanzania tawi la makao makuu jijini Dar es Salaam, Bw. Lugano Kapologwe(kulia), akikabidhi zawadi ya simu aina ya iPhone 6 kwa mshindi wa droo  ya tatu ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ya Dola za Kimarekani inayoendeshwa na benki hiyo, Bw DileshKumar Solanki (kushoto) katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye tawi hilo jana.

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE APATIKANA

Mshindi akikabidhiwa zawadi na miongoni mwa wahariri wa gazeti hilo, Elvan Stambuli. Asia akionesha fedha alizojishindia.…

 

5 years ago

Press

M-PAWA INAZIDI KUWATAJIRISHA WATANZANIA MSHINDI WA PILI WA MILIONI 20 APATIKANA

01

Vodacom Tanzania wakishirikiana na Benki ya CBA, ilizindua promosheni kubwa inayojulikana kama “Jiongeze na M-Pawa” ambayo inawawezesha watumiaji wa huduma ya M-Pawa kujishindia zawadi ya fedha taslimu. Jumla ya shilingi milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya promosheni hiyo na mshindi mmoja wa droo kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100. Washindi wa wiki watazawadiwa shilingi milioni 20 na washindi wa siku watazawadiwa shilingi milioni moja. Promosheni hiyo ambayo ilianza mwanzoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani