MSHINDI DROO YA TATU EXIM APATIKANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-v0zDzRn_wVE/VhZ81DfYM1I/AAAAAAAH94w/Jk8vnLy8HfA/s72-c/Winner%2B2.jpg)
Meneja Utendaji na Huduma kwa wateja Benki ya Exim Tanzania tawi la makao makuu jijini Dar es Salaam, Bw. Lugano Kapologwe(kulia), akikabidhi zawadi ya simu aina ya iPhone 6 kwa mshindi wa droo ya tatu ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ya Dola za Kimarekani inayoendeshwa na benki hiyo, Bw DileshKumar Solanki (kushoto) katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika kwenye tawi hilo jana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6xAytUAla6U/Vf_nfscBaJI/AAAAAAAH6gA/K0RYn3prS-E/s72-c/EXIM.jpg)
BENKI YA EXIM YAPATA MSHINDI WA DROO YA PILI AKAUNTI YA MALENGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-6xAytUAla6U/Vf_nfscBaJI/AAAAAAAH6gA/K0RYn3prS-E/s640/EXIM.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UhKyWtnziGA/VbjAq8hNXEI/AAAAAAAC9DA/C-WqAmop7Y4/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhKyWtnziGA/VbjAq8hNXEI/AAAAAAAC9DA/C-WqAmop7Y4/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Benki ya Exim Tanzania hii leo imetangaza washindi watano wa mwezi katika kampeni yake ya 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard'. Kampeni hiyo inalenga kuhamasisha wateja wa benki ya Exim kutumia kadi zao za Mastercard katika manunuzi ya mtandaoni au kufanya malipo kupitia mashine za malipo (POS) katika maduka mbalimbali na maeneo mengine nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEhxTi6y1erALV-OJt1zzsTbfBenjiTGztxbo5KTaujfR0NJaBC8otHy8N*yQJcYvHJF-b5hb44dfyvJpIfW3bKe/1.jpg?width=650)
STARTIMES YAMKABIDHI MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA PIKIPIKI KTK DROO YA PILI
Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi Zuhura Hanif (kulia) akimkabidhi mshindi wa droo ya kwanza ya kujishindia pikipiki ya mwezi wa Aprili, Bw Kafuku Mdaki, mkazi wa Tanga, katika hafla fupi iliyofanyika katika duka la kampuni hiyo zilizopo Bamaga-Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kujiunga na bahati nasibu hiyo wateja wa StarTimes wanatakiwa kulipia kifurushi kuanzia shilingi 10,000/- na kuendelea.… ...
10 years ago
GPLMSHINDI WA TUZO YA USHAIRI APATIKANA
Washindi wa tuzo za ushairi wa kwanza kulia ni mshindi wa pili Rashidi Abdu Rai, katikati mshindi wa kwanza Esther Mgondo na Sylvin Makila aliyeshika nafasi ya tatu. Mgeni rasmi Profesa Helman Mwansoko akizungumza jambo.…
11 years ago
GPLMSHINDI WA MIL 10 WA CHAMPIONI MAHELA APATIKANA
MC Chaku (kushoto) akiwa na mmoja ya mkazi wa mbagala tiyari kwa kuchagua mshindi wa Championi Shinda Mahela. ...Kuponi za Championi Shinda Mahela.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VPsGcQZ8zg8/VbXne8lf4AI/AAAAAAAC8_4/eVQ0mbvfZxY/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YAENDESHA DROO YA KWANZA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VPsGcQZ8zg8/VbXne8lf4AI/AAAAAAAC8_4/eVQ0mbvfZxY/s640/unnamed.jpg)
Benki ya Exim Tanzania imeendesha droo yake ya kwanza ya kampeni ya akaunti ya malengo inayolenga...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lyqaAhZ76QA/VmVI0BnfhEI/AAAAAAAIKnU/RjN-F_zjorQ/s72-c/DRAW%2B2%2B.jpg)
BENKI YA EXIM YAENDESHA DROO YA MWISHO YA KAMPENI YAKE YA AKAUNTI YA MALENGO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-lyqaAhZ76QA/VmVI0BnfhEI/AAAAAAAIKnU/RjN-F_zjorQ/s640/DRAW%2B2%2B.jpg)
10 years ago
GPLMSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE APATIKANA
Mshindi akikabidhiwa zawadi na miongoni mwa wahariri wa gazeti hilo, Elvan Stambuli. Asia akionesha fedha alizojishindia.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania