Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msichague wanaopenda matukio, Watanzania waaswa

WATANZANIA wametakiwa kuepuka kuwachagua viongozi wanaopendelea matukio kuliko kujali wananchi wao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania msichague Mafisadi — Kasesela

f640x480

 Na Mwandishi wetu

WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu, katika chaguzi zijazo.

Kauli hiyo, ilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini nchini, Richard Kasesela (pichani) wakati wa ibada ya kuiombea nchi amani na mafanikio ya ujenzi wa Chuo cha Biblia mkoani Mbeya, yalifanyika katika Kanisa la Hossana Life Mission jijini Dar es Salaam.

Alisema endapo mafisadi hao wataingia madarakani katika cha guzi za...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waaswa kulinda amani

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika, huku msisitizo katika sherehe hizo ukiwa ni kuwataka kutokubali kurubuniwa na kuharibu amani iliyopo na badala yake waidumishe na kujituma.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania waaswa kuchangia elimu

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amesema watanzania wanapaswa kuondokana na dhana kuwa jukumu la kutoa elimu bora linapaswa kubebwa na serikali peke yake. Amesema dhana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania waaswa kupima afya

WATANZANIA wametakiwa kuwajibika kwa ajili ya afya zao kwa kwenda hospitali kupima mara kwa mara. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam jana na  Dk. Amyn Alidina, mtaalamu wa saratani katika Hospitali ya Aga Khan, alipokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Watanzania waaswa kudumisha na kuuenzi muungano.


















Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai .
(Na Jovina Bujulu, MAELEZO DODOMA).   Muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ni jambo la kujivunia kwa watanzania wote na katika bara la Afrika.
Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai wakati wa mahojiano katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC ONE.
Mh. Ndugai ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema kuwa jambo la Muhimu...

 

10 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kuchagua viongozi waadilifu.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amesema umefika wakati wa watanzania kupiga vita vitendo vya kifisadi kwa kuchagua viongozi wazalendo na waadilifu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Amesema vitendo vya kifisadi pamoja na rushwa vinakwamisha maendeleo ya Tanzania hali inayosababisha uchumi wa nchi kukua wakati watanzania wakiendelea kubaki masikini.

Waziri Membe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watanzania waaswa katika sherehe za Idd

alhad

Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salumu.

Na Mwandishi wetu

Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salumu amewaasa watanzania kusherehekea sikukuu ya Idd El fitri kwa uadilifu na kuacha dhambi kwani hazimpendezi Mwenyezi Mungu.

Akizungumza Jumapili asubuhi, Julai 27, 2014, alisisitiza kuwa kwa sasa jamii inapaswa kujiandaa vema na sikukuu hiyo na ni wakati mzuri wa jamii ya watanzania kuendelea kutenda mema

“sio kwamba kwa sababu watu wamemaliza kipindi cha mfungo, ndio...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kulinda amani, umoja, haki

Watanzania wameaswa kuzilinda kwa hali na mali tunu muhimu za Taifa ambazo ni amani, umoja na haki ili kuepuka machafuko na kupita salama katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Mpaka sasa viashiria vya uvunjifu wa tunu hizo vinatajwa kuanza kuonekana kutokana na kuwepo kwa sera za uchochezi kwa baadhi ya vyama vya siasa vingine vikiwahimiza vijana kulinda kura siku ya uchaguzi jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya Tume ya Uchaguzi nchini NEC.

Ni takribani wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani