Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSICHANGIE SHEREHE PEKEE CHANGIENI NA MATIBABU - DC SIKONGE

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akimkabidhi kadi ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii  CHF mmoja kati ya wakulima wa tumbaku katika kijiji cha Kisanga wilayani humo wakati wa kampeni ya Uzinduzi wa mfuko huo. 
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kisanga waliohudhuria uzinduzi wa kampeni hiyo ya uhamasishaji kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilayani Sikonge.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

“Msichangie sherehe pekee changieni na matibabu”- DC Sikonge

NHIF SIKONGE.5

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akimkabidhi kadi ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii  CHF mmoja kati ya wakulima wa tumbaku katika kijiji cha Kisanga wilayani humo wakati wa kampeni ya Uzinduzi wa mfuko huo.

NHIF SIKONGE.6

Mkuu wa wilaya ya Sikonge akikabidhi kadi ya CHF kwa mkazi wa kijiji cha Kisanga wilayani humo.

NHIF SIKONGE.1

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kisanga waliohudhuria uzinduzi wa kampeni hiyo ya uhamasishaji kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilayani Sikonge.

NHIF SIKONGE.2

Wananchi  wakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Krismasi siyo sherehe pekee

Leo ni siku ambayo imezoeleka kote duniani kwa waumini wa Dini ya Kikristo kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo kwa kuhudhuria ibada na baadaye kuwa na sherehe ambazo kwa kiasi kikubwa huhusisha wanafamilia.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania changieni katika elimu

. Mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata ameamua kuungana na wa Tanzania ili kusaidia kuinua sekta ya elimu nchini, kupitia mfuko wake wa Matata Foundation na kwamba misaada mingi imeshatolewa kupitia mfuko huo, miaka kadhaa tangu kuanzishwa kwake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo: Changieni miradi ya maji

MBUNGE wa Kisarawe, Seleman Jafo, amewasihi wakazi wa jimbo hilo kuzingatia uchangiaji wa mfuko wa maji ili kuwezesha miradi inayotekelezwa kuwa endelevu na kuondokana na kero ya maji ambayo imekua...

 

11 years ago

Habarileo

Maalim Seif: Wazazi changieni elimu

WAZAZI visiwani hapa wametakiwa kubadilika na kuachana na dhana, kwamba Serikali ndiyo yenye jukumu la kusomesha wanafunzi wote.

 

11 years ago

Michuzi

NAPE: WASOMI CHANGIENI MAONI YENU KATIKA KUBORESHA SERA MBALI MBALI


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wanachama wa CCM wa Tawi la STEMMUCO mkoani Mtwara wakati wa sherehe za kuwaaga wanachama wa CCM waliohitimu masomo yao katika Chuo cha SAUT ambapo aliwaambia wasomi washiriki katika kukisaidia chama hasa katika kuboresha sera mbali mbali.  Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mtwara Ndugu Mohamed Sinani akizungumza wakati wa sherehe za kuwaaga wanachama wa CCM Tawi la STEMMUCO mkoani Mtwara ambao wamehitimu masomo katika Chuo cha SAUT...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC akabidhi madawati 200 Sikonge

SERIKALI wilayani Sikonge, Tabora imekabidhi madawati 214 kwa shule za msingi 10 yenye thamani ya sh milioni 13.9. Mkuu wa Wilaya (DC) ya Sikonge, Hanifa Selengu, alikabidhi madawati hayo baada...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sikonge na mikakati ya kuondokana na umasikini

JITIHADA za kupambana na umasikini wilayani Sikonge, Tabora zimeendelea kuchukuliwa na sasa sura yenye muelekeo imeanza kujionyesha  kufikiwa kwa maendeleo na kuondokana na umasikini kwa wananchi wake. Jitihada hizo zimelenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani