Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa Krismasi siyo sherehe pekee

Leo ni siku ambayo imezoeleka kote duniani kwa waumini wa Dini ya Kikristo kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo kwa kuhudhuria ibada na baadaye kuwa na sherehe ambazo kwa kiasi kikubwa huhusisha wanafamilia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee

>Hatukushangazwa hata kidogo na hatua ya baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge, kulalamikia utaratibu uliowekwa na chama hicho unaowataka kutoa kiasi kikubwa cha fedha kama mchango wa kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo yao.

 

11 years ago

GPL

NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA!

VIJANA wengi wa sasa wanatamani kuingia kwenye ndoa wakiwa na mitazamo mbalimbali; mingi mizuri. Nasema hivyo nikimaanisha kuwa, wanaamini wakiwa kwenye ndoa, watatimiza ndoto zao za muda mrefu. Hupiga picha kuhusu idadi ya watoto watakaozaa, namna watakavyowasomesha na jinsi ambavyo familia itakuwa yenye furaha. Kifupi wanafikiria zaidi kuhusu mambo ambayo yatawafurahisha. Kamwe hawapati muda wa kufikiria namna ya kukabiliana...

 

11 years ago

GPL

NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 2

NATAMANI kuona maisha ya kimapenzi ya vijana wa sasa yakiwa hayana migogoro. Ni furaha yangu kuona vijana wakifanikiwa katika kazi zao na maisha yao kwa ujumla. Maisha bora au utaratibu mzuri wa maisha unatokana na uhusiano mwema wa mhusika na mwenzake.Aliyegombana na mpenzi wake usiku uliopita, siku yake huwa nzito sana kazini. Kila anachokifanya hukumbuka ugomvi wa usiku ulivyokuwa. Kama mtu ataondoka nyumbani akiwa hana...

 

11 years ago

GPL

NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 3

NIMEFURAHI tumekutana tena hapa katika All About Love, safu ambayo inatengeneza maisha ya wengi kuhusu uhusiano wao. Bila shaka hata wewe umebadilika sana baada ya kuwa mdau wa kona hii. Hata hivyo, wale ambao ndiyo kwanza mmeanza kusoma ukurasa huu, mnatakiwa kujivunia sana maana ni sehemu sahihi zaidi ya kujifunza kuhusu uhusiano na maisha. Tunaangalia kuhusu ndoa, leo ikiwa ni sehemu ya mwisho.  Je, unawaza nini katika...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?

.KWAKO mkali wao katika anga la Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Mambo vipi mzazi jembe? Hongera sana kwa ushindi mnono ulioupata hivi karibuni katika Tuzo za MTV EMA 2015 jijini Milan Italy, umezidi kuliletea taifa letu heshima. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru Mungu naendelea kupambana na kazi zangu kama kawaida ili mkono uende kinywani.Nimekukumbuka leo kwa barua kwani kuna jambo nataka nikushauri....

 

10 years ago

Dewji Blog

“Msichangie sherehe pekee changieni na matibabu”- DC Sikonge

NHIF SIKONGE.5

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akimkabidhi kadi ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii  CHF mmoja kati ya wakulima wa tumbaku katika kijiji cha Kisanga wilayani humo wakati wa kampeni ya Uzinduzi wa mfuko huo.

NHIF SIKONGE.6

Mkuu wa wilaya ya Sikonge akikabidhi kadi ya CHF kwa mkazi wa kijiji cha Kisanga wilayani humo.

NHIF SIKONGE.1

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kisanga waliohudhuria uzinduzi wa kampeni hiyo ya uhamasishaji kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilayani Sikonge.

NHIF SIKONGE.2

Wananchi  wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

MSICHANGIE SHEREHE PEKEE CHANGIENI NA MATIBABU - DC SIKONGE

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akimkabidhi kadi ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii  CHF mmoja kati ya wakulima wa tumbaku katika kijiji cha Kisanga wilayani humo wakati wa kampeni ya Uzinduzi wa mfuko huo. 
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kisanga waliohudhuria uzinduzi wa kampeni hiyo ya uhamasishaji kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilayani Sikonge.

BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI

 

5 years ago

BBCSwahili

Sherehe za Krismasi duniani kwa picha

Kutoka Afrika hadi Ulaya misa za Krismasi zimekfanyika baada ya mwaka 2019 uliokumbwa na majanga mengi.

 

9 years ago

Michuzi

HOUSTON TEXAS KUWAKA MOTO WA SIFA WAKATI WA SHEREHE ZA KRISMASI.

Kanisa la Agape (Agape Family Church) Houston Texas likiongozwa na Mtumishi Elisha limeandaa maadhimisho ya kipekee ya Krismasi yatakayofanyika Houston Texas kwa siku mbili yaani 24 na 25 Desemba 2015. Habari zaidi soma kipeperushi hapa chini. Inline image 1

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani