NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA!
![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKvrXx6dvuSlqgMyd*ZM2pyxpPgDOGY5GDZmAoYt***5udlTzbLeZQ*UEHBykX8lDbEfkHRAkmKhUzwPPd5wPd6/mahaba.jpg)
VIJANA wengi wa sasa wanatamani kuingia kwenye ndoa wakiwa na mitazamo mbalimbali; mingi mizuri. Nasema hivyo nikimaanisha kuwa, wanaamini wakiwa kwenye ndoa, watatimiza ndoto zao za muda mrefu. Hupiga picha kuhusu idadi ya watoto watakaozaa, namna watakavyowasomesha na jinsi ambavyo familia itakuwa yenye furaha. Kifupi wanafikiria zaidi kuhusu mambo ambayo yatawafurahisha. Kamwe hawapati muda wa kufikiria namna ya kukabiliana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBGQ7lDItFcuepw*xyiHS638JVTUlS4oi5zwE*zK5BG1kJC7Jbb4fgXKSVY5T1OZlzoAUT9Qct0XyG57fm9hw4H/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuVWa-Fd0A8xhSs188F1iSWIRkdOt03g5XCCykBwIXwndMOEwYypz9HDUjxos54z*duMZ0QL2q7KSgJNSH2RU3I/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 3
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQQgEJ61rRv2ng-gX5MOSg5Gnc8OrMHadSX--TPcQzfbVihZnObP*L9s19naJDvYUHKd*pcU6Q4vO16KmkC5PX53/bcouplesmile.jpg)
NDOA SIYO MWISHO WA MATATIZO, MCHUNGUZE KWANZA
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzAC0hP813LXfucEkNsJ4djnwUAahXga5m9ot3*7w8WaYWVk2o-bOrr1M-3H2C46wOWBlCO0c-hDw*Q2HPxyQa79/Loves.jpg)
KUNA WANAOISHI KWA RAHA NA VIMADA KULIKO NDANI YA NDOA
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
MAKALA kutoka kwa Maganga One: Matatizo ya ndoa na Umri
MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO
Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.
Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Maalim Seif: Najisikia raha kuwa mgombea pekee wa urais Z’bar
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Umuhimu wa Krismasi siyo sherehe pekee
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Tunachohitaji ni ufumbuzi wa matatizo siyo sauti nzuri