Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA!

VIJANA wengi wa sasa wanatamani kuingia kwenye ndoa wakiwa na mitazamo mbalimbali; mingi mizuri. Nasema hivyo nikimaanisha kuwa, wanaamini wakiwa kwenye ndoa, watatimiza ndoto zao za muda mrefu. Hupiga picha kuhusu idadi ya watoto watakaozaa, namna watakavyowasomesha na jinsi ambavyo familia itakuwa yenye furaha. Kifupi wanafikiria zaidi kuhusu mambo ambayo yatawafurahisha. Kamwe hawapati muda wa kufikiria namna ya kukabiliana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 2

NATAMANI kuona maisha ya kimapenzi ya vijana wa sasa yakiwa hayana migogoro. Ni furaha yangu kuona vijana wakifanikiwa katika kazi zao na maisha yao kwa ujumla. Maisha bora au utaratibu mzuri wa maisha unatokana na uhusiano mwema wa mhusika na mwenzake.Aliyegombana na mpenzi wake usiku uliopita, siku yake huwa nzito sana kazini. Kila anachokifanya hukumbuka ugomvi wa usiku ulivyokuwa. Kama mtu ataondoka nyumbani akiwa hana...

 

11 years ago

GPL

NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 3

NIMEFURAHI tumekutana tena hapa katika All About Love, safu ambayo inatengeneza maisha ya wengi kuhusu uhusiano wao. Bila shaka hata wewe umebadilika sana baada ya kuwa mdau wa kona hii. Hata hivyo, wale ambao ndiyo kwanza mmeanza kusoma ukurasa huu, mnatakiwa kujivunia sana maana ni sehemu sahihi zaidi ya kujifunza kuhusu uhusiano na maisha. Tunaangalia kuhusu ndoa, leo ikiwa ni sehemu ya mwisho.  Je, unawaza nini katika...

 

9 years ago

GPL

NDOA SIYO MWISHO WA MATATIZO, MCHUNGUZE KWANZA

Namshukuru Mungu kuona nina afya njema. Kabla sijaongea mengi leo nimekuja na mada hii ili kuwakumbusha wasichana wanaokimbilia ndoa halafu hawafiki mbali na ndoa zao wanaishia kuzivunja tena kwa mikiki na visasi. Nina visa vya kijana mmoja ambaye alinisimulia kuhusiana na mkasa wake wa mapenzi na kusema kuwa yeye alikuwa si mtu wa mademu sana na alifanya hivyo kutokana na malezi aliyolelewa na wazazi wake. “Sikuwahi kupenda...

 

10 years ago

Mwananchi

Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee

>Hatukushangazwa hata kidogo na hatua ya baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge, kulalamikia utaratibu uliowekwa na chama hicho unaowataka kutoa kiasi kikubwa cha fedha kama mchango wa kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo yao.

 

10 years ago

GPL

KUNA WANAOISHI KWA RAHA NA VIMADA KULIKO NDANI YA NDOA

Nisiku nyingine tena tunakutana katika jungu kuu lisilokosa ukoko, katika  uchambuzi  mzuri na wenye mashiko kuhusu maisha na mapenzi.Kwa uchunguzi mdogo nilioufanya kwa kuzungumza na wanaume kadhaa walio kwenye mahusiano, (hasa wana ndoa) nimegundua baadhi ya wanaume wamejikuta wakijiingiza katika masuala ya ulevi na kuchepuka (kwa kuwa na vimada) kwa sababu ya karaha wanazokutana nazo kwa wake zao. Nilichobaini wanaume...

 

10 years ago

Dewji Blog

MAKALA kutoka kwa Maganga One: Matatizo ya ndoa na Umri

whatever-works

MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO

Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.

Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima...

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Najisikia raha kuwa mgombea pekee wa urais Z’bar

>Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad amerudisha fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar kupitia chama hicho na kusema anajisikia raha kuwa mgombea pekee akiwa na dhamira ya kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuwatumikia Wazanzibari.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Krismasi siyo sherehe pekee

Leo ni siku ambayo imezoeleka kote duniani kwa waumini wa Dini ya Kikristo kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo kwa kuhudhuria ibada na baadaye kuwa na sherehe ambazo kwa kiasi kikubwa huhusisha wanafamilia.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunachohitaji ni ufumbuzi wa matatizo siyo sauti nzuri

Nimeandika makala kadhaa zinazohusu huduma bora kwa wateja katika safu hii. Nalazimika kuandika tena leo kwa sababu kwa kweli maeneo mengi ya nchi hii huduma ni mbovu sana. Yapo mabadiliko katika maeneo machache ambayo yanaonyesha angalau watu wanatambua kuwa kuna ushindani katika biashara zetu hivyo wanatakiwa kutoa huduma kwa ushindani; hao nawapa hongera.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani