NDOA SIYO MWISHO WA MATATIZO, MCHUNGUZE KWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQQgEJ61rRv2ng-gX5MOSg5Gnc8OrMHadSX--TPcQzfbVihZnObP*L9s19naJDvYUHKd*pcU6Q4vO16KmkC5PX53/bcouplesmile.jpg)
Namshukuru Mungu kuona nina afya njema. Kabla sijaongea mengi leo nimekuja na mada hii ili kuwakumbusha wasichana wanaokimbilia ndoa halafu hawafiki mbali na ndoa zao wanaishia kuzivunja tena kwa mikiki na visasi. Nina visa vya kijana mmoja ambaye alinisimulia kuhusiana na mkasa wake wa mapenzi na kusema kuwa yeye alikuwa si mtu wa mademu sana na alifanya hivyo kutokana na malezi aliyolelewa na wazazi wake. “Sikuwahi kupenda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKvrXx6dvuSlqgMyd*ZM2pyxpPgDOGY5GDZmAoYt***5udlTzbLeZQ*UEHBykX8lDbEfkHRAkmKhUzwPPd5wPd6/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuVWa-Fd0A8xhSs188F1iSWIRkdOt03g5XCCykBwIXwndMOEwYypz9HDUjxos54z*duMZ0QL2q7KSgJNSH2RU3I/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBBGQ7lDItFcuepw*xyiHS638JVTUlS4oi5zwE*zK5BG1kJC7Jbb4fgXKSVY5T1OZlzoAUT9Qct0XyG57fm9hw4H/mahaba.jpg)
NDOA SIYO RAHA PEKEE, JIPANGE KWA MATATIZO PIA! - 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUl0oUncw0sttvcfX8097gIx-PYC8O1PTtDUSymvxUHvJinJIEmWsv9JHq-Af0KRgeSgFsYopXaBNWQVQkY6ycpb/g.jpg)
MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.
Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Tunachohitaji ni ufumbuzi wa matatizo siyo sauti nzuri
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCxplELZp9Luo1jUK-6BY29BuaZXWnB639iqdnRJSI7UDup3r88fmcIXuwZECZ1AkGrn0HwbKDyYj4tpiAz6NE1V/womancrying59331214.jpg?width=650)
ISHU SIYO MATATIZO BALI NAMNA TUNAVYOYAPOKEA NA KUYATATUA!
9 years ago
Mwananchi14 Oct
MCHANGO WA MAWAZO: Tujadili matatizo ya Taifa letu, siyo wagombea
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i0EVkPPA-hI/VJXDzdXZcnI/AAAAAAAA3AE/CzGVN7QjUfg/s72-c/whatever-works.jpg)
MATATIZO YA NDOA NA UMRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0EVkPPA-hI/VJXDzdXZcnI/AAAAAAAA3AE/CzGVN7QjUfg/s1600/whatever-works.jpg)