Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikonge na mikakati ya kuondokana na umasikini

JITIHADA za kupambana na umasikini wilayani Sikonge, Tabora zimeendelea kuchukuliwa na sasa sura yenye muelekeo imeanza kujionyesha  kufikiwa kwa maendeleo na kuondokana na umasikini kwa wananchi wake. Jitihada hizo zimelenga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuitumie michezo kuondokana na umaskini

>Alhamisi, Julai 9 mwaka huu wakati akivunja Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete aliainisha miongoni mafanikio yake katika sekta ya michezo kwa miaka 10 ya uongozi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Waaswa kuondokana na kilimo cha mazoea

>Wakulima wameaswa kuondokana na kilimo cha mazoea, badala yake watumie kanuni bora za kilimo ili  waweze kuongeza kiwango cha uzalishaji na kipato katika familia zao.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kuondokana na simu bandia

WAKATI matumizi ya teknolojia yakielezwa kuongezeka katika nchi za Afrika hasa ya simu, Watanzania wameshauriwa kutumia simu zenye viwango vya kimataifa ili kuepukana na athari za matumizi ya simu bandia.

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha Maafisa Vijana (hawapo pichani) kilichofanyika jana mjini Tabora,kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi. Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi akitoa mada kuhusu majukumu ya Maafisa Vijana wakati… ...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUONDOKANA NA KUTEGEMEA AJIRA ZA SERIKALINI

 Vijana Mkoani Kagera wametakiwa kuondokana na kutegemea ajira toka serikalini badala yake wajijengee mazingira ya kuwezeshwa kwa kukaa katika makundi ili wanufaike na fursa mbali mbali zitolewazo na serikali.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, Ajira, Sera na watu wenye ulemavu Mhe, Anthony Mavunde katika Kongamano la Umoja wa vijana CCM mkoa wa Kagera chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Happiness Runyogote katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA MANISPAA YA SONGEA KUONDOKANA NA TATIZO LA MAJI

http://mkumbaru.files.wordpress.com/2012/11/maji.jpg?w=698 Na Julius Konala wa demasho.com,Songea.
WANANCHI wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,wataondokana na tatizo la upatikanaji wa maji lililokuwa likiwakumba kwa muda mrefu hususani kipindi cha kiangazi baada ya kuanza kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa kitega maji ambao unatekelezwa na kampuni ya Sinani Building Contactors Ltd yenye makao yake makuu mkoani Mtwara katika eneo la Ruhira mjini humo ambapo utagharimu kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni mbili mpaka kukamilika kwake.
Hayo yalisemwa...

 

10 years ago

Vijimambo

UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI-BALOZI MANONGI

picha hii ya maktaba inawaonyesha wavuvi wakirejea pwani baada ya shughuli ya kuvua samaki, inaelezwa kwamba wavuvi wadogo kama hawa wakiwezeshwa siyo tu wanajiongezea kipato chao lakini pia inawasidia katika utunzaji wa mazingira ya bahari .Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akibadilishana mawazo na Balozi Manongi, mshiriki huyu kutoka Norway katika maelezo yake amesema anafanya kazi kwa karibu na serikali ya TanzaniaPichani ni sehemu ya washiriki wa mkutano huo wa pembezoniBalozi...

 

10 years ago

Michuzi

UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI - BALOZI MANONGI

Na Mwandishi Maalum, New York  Tanzania, kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, imeelezea kuridhishwa kwake na namna ambavyo Mashirika ya Kimataifa naTaasisi binafsi zinavyoshirikiana na kwa karibu na serikali na taasisi zake kuimarisha sekta ya uvuvi. Ushirikiano huo umeifanya sekta ya uvuvi nchini kuwa wenye tija na hivyo kuchangia katika ongezeko la kupato na kuwaondoa katika umaskini jamii ya watanzania ambao maisha yao ya kila...

 

11 years ago

Michuzi

KINGUNGE AWATAKA WATANZANIA KUONDOKANA NA IMANI POTOFU JUU YA TIBA ASILIA


2 (14)Mlezi wa Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME), Kingunge Ngombale (kushoto), akifungua mafunzo kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari kuhusu tiba asilia  katika ukumbi wa mikutano NIMR jijini Dar es Salaam. (kulia), Mwenyekiti wa Chama cha Utabibu wa Dawa Asili Tanzania (ATME), Bw.Simba Abdulrahmani. Kingunge amewataka Watanzania kuondokana na imani potofu dhidi ya tiba asili na badala yake watumie ili kupona maradhi mbalimbali yanayowakabili 3 (9)Lucey Samwel, kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani