Msikiti wa Mtambani waungua tena
Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto
NA EVANS MAGEGE, Dar es Salaam
MSIKITI wa Mtambani uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana uliungua kwa moto na kuteketeza chumba kimoja kinachotumiwa na wanafunzi wa sekondari kujisomea na kulala.
Tukio la kuungua kwa msikiti huo lilitokea muda mfupi kabla ya swala ya Ijumaa na tayari baadhi ya waumini walikwishaingia kwa ajili ya kuswali.
Akithibitisha kutokea tukio hilo, Katibu wa Msikiti huo, Sheikh Abdallah Mohamed Ali, alisema moto mkubwa ulizuka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Msikiti Mtambani waungua tena
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Msikiti wa Mtambani waungua moto tena
MSIKITI wa Mtambani, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, umeungua moto tena. Awali msikiti huo uliungua moto Agosti 13, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi...
10 years ago
GPLMSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA TENA
10 years ago
GPLMSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: Moto wazuka tena katika Msikiti wa Mtambani leo
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Chadema yatoa madawati Mtambani msikiti wa Mtambani
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Makubwa yaibuka Msikiti wa Mtambani
Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto
Hadia Khamisi na Jonas Mushi, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Msikiti wa Mtambani sehemu ya juu kuteketea kwa moto na kuunguza vitu vyote, uongozi umeunda kamati mbili za kufuatilia suala hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Msikiti wa Mtambani, Sheikh Abdallah Mohammed Ali, alizitaja kamati hizo kuwa ni ya maafa na ulinzi.
“Ajali hii ilianza kutokea wakati tunajiandaa kuswali Magharibi, ghafla tukasikia kelele za...
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Msikiti wa Mtambani wateketea kwa moto
Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto
Na Mwali Ibrahim, Dar es Salaam
MSIKITI wa Mtambani, uliopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam umeteketea kwa moto.
Moto huo ulianza kuwaka kabla ya sala ya Magharibi katika sehemu ya madarasa ya Shule ya Msingi Mtambani, iliyopo katika majengo ya msikitini huo.
“Moto ulianza kuwaka katika eneo la mabweni ya wanafunzi yaliyopo katika shule hii, lakini kwa bahati nzuri juhudi kubwa zilifanywa ili kuokoa maisha yao.
“Ila kwa bahati mbaya vitu vyote vilivyokuwa...
10 years ago
MichuziMh. Lowassa atoa pole msikiti wa Mtambani Kinondoni jijini Dar leo