Msolla: Al Ahly were very lucky to beat Yanga
Veteran coach Mshindo Msolla has said Young Africans were unlucky in the second leg encounter of the African Champions League against Al Ahly which took place on Sunday in Alexandria, Egypt.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen24 Feb
Yanga need self-belief to beat Al Ahly
Young Africans chief coach’s confidence on the ability of his players to take on big opponents is a good base for the team’s success against Egypt’s Al Ahly this weekend.
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/DCE7/production/_84415565_462486328.jpg)
Arrests after Ahly beat Zamalek
Eight people are arrested after trying to attack the headquarters of Egyptian club Zamalek after they lost to archrivals Al Ahly.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CRK3NHxKc2I/XsVP4Qi631I/AAAAAAADc2Y/WkcTcL1I2nsWSGbEY8axLjbdi-v7DwIDwCNcBGAsYHQ/s72-c/dk_mshndo_msolla%2B%2540binzubeiry%2B.jpg)
DK MSHINDO MSOLLA AZINDUA KAMPENI YA KUELEKEA KWENYE MABADLIKO YA MFUMO WA UENDESHAJI YANGA SC
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKTI wa Yanga SC, Dk. Mshindo Msolla amezindua Kampeni ya kuelekea kwenye mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa Klabu.
“Moja ya ajenda zangu wakati nagombea uongozi ilikuwa ni kuhakikisha tunaingia kwenye mabadiliko ya mfumo mpya wa uendeshaji wa Klabu yetu.
“Leo nina furaha kuzindua kampeni hii ambayo ni hatua muhimu kuelekea kwenye matukio makubwa ya mabadiliko tunayoyatarajia,” amesema.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CRK3NHxKc2I/XsVP4Qi631I/AAAAAAADc2Y/WkcTcL1I2nsWSGbEY8axLjbdi-v7DwIDwCNcBGAsYHQ/s640/dk_mshndo_msolla%2B%2540binzubeiry%2B.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Tofauti ya Yanga na Al Ahly
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania bara, Yanga, wametinga raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamefika hatua hiyo baada ya kuwatupa nje Komorozine ya Domoni, Comoro kwa kuwanyuka jumla...
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Yanga kupepetana na Al-Ahly
Yanga ya Tanzania, leo wanakabiliana na al-Ahly ya Misri katika mchezo wa kombe la mabingwa Afrika
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Yanga yaibwaga Al-Ahly 1-0
Timu Yanga imevunja mwiko wa kutozifunga timu za Afrika Kaskazini kwa kuichapa Al-Alhly ya Misri 1-0
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YtcX-rHWIQGp1oZBYY8TKRD74Ke4MY6RA8qxs7m5979PIgM2-de9ic5R4naDGiHGoYFQuQ*ahlhgXS1MQdH7wKA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga: Tuliwadanganya Al Ahly
Na Khadija Mngwai TIMU ya Yanga imeibuka na kusema kuwa waliwadanganya Al Ahly ya Misri wanayotarajia kukutana nayo Machi Mosi, mwaka huu kufuatia kutumia mfumo tofauti na ule wanaotarajia kuutumia pindi watakapokutana na timu hiyo. Mashushushu wa Al Ahly, walitua nchini kwa ajili ya kuiangalia Yanga ilipokuwa ikivaana na Komorozine katika mechi ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kuichapa mabao 7-0.
Yanga...
11 years ago
TheCitizen09 Mar
Yanga in do-or-die tie against Ahly
Young Africans are on the verge of making history today when they confront Al Ahly in the CAF Champions League first round, second leg match at the Harras El-Hedoud Stadium, Alexandria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGaZI2JWlZGZzs2FP-zmMan*MgBFrN1*WokQ4*7hkbleMf3-LSCkPcy-*VAtedNVAnv54Is1XLRNhX9cd0FwJbA/YANGA.jpg?width=650)
Yanga yashtukia uongo wa Al Ahly
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Hans Mloli
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amewashtukia Al Ahly na kukiri kwamba waliwadanganya Yanga kwa kudai watakuja na winga wao Emad Motaeb, lakini haikuwa hivyo. Al Ahly ilitoa taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari vya Cairo kwamba itatua na winga wao hatari Motaeb jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga lakini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania