Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSTALI KWA MSTALI NA SHIKOROBO YA SHETTA

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Shetta.
UKITAJA video bora tano za muziki wa Bongo Fleva zinazotikisa kwa kipindi hiki ni wazi utataja video ya Shikorobo ya Shetta akishirikiana na staa mkubwa wa Nigeria, KCEE ambayo imeongozwa na mtayarishaji mkubwa wa video kutoka nchini Afrika Kusini, Mike Ogoke ‘Godfather’. Ubora wa video hiyo na wimbo wenyewe ni kati ya vitu vinavyofanya mashabiki wengi wa muziki kuupenda kila...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Shetta aingia kwa ubabe shoo ya Juma Nature

SHETANA RHOBI CHACHA

AKIWA na wapambe 15 msanii wa Bongo Fleva, Nurdin Bilali ‘Shetta’, alilazimika kutumia nguvu za ziada ili kuingia na wapambe wake hao katika shoo ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki kwa msanii Juma Nature, iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam.

Shetta ilimlazimu kufanya uamuzi huo baada ya njia yake ya kutishia kususia kufanya onyesho lake katika onyesho hilo kupuuzwa huku akikataliwa kuingia na idadi hiyo kubwa ya wapambe wake badala yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shetta kutoka tena na Diamond

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal ‘Shetta’, amemshirikisha tena mkali wa muziki huo, Nassib Abdul ‘Diamond’, katika ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Mama Qayllah’. Shetta aliwahi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kerewa’ ya Shetta yatafuna mil. 21

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Shetta, amesema ametenga sh milioni 21 kwa ajili ya video ya wimbo wake wa ‘Kerewa’ ambayo anatarajia kuifanya na mtayarishaji mahiri kutoka Afrika...

 

11 years ago

CloudsFM

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani