Mtalii afa akijipiga ‘selfie’ Taj Mahal
Mtalii kutoka Japan amefariki baada ya kuteleza na kuanguka kutoka kwenye ngazi katika jengo maarufu la Taj Mahal nchini India.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mtalii kutoka China afa akiogelea Dar
WATU wawili wamekufa maji jijini Dar es Salaam katika Sikukuu ya Krismasi akiwemo mtalii kutoka China aliyekufa wakati akiogelea na wenzake katika Hoteli ya Golden Tullip jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi23 Feb
USHIRIKIANO: Balozi Taj awapa somo wafanyabiashara
>Wafanyabiashara wa Tanzania wamehamasishwa kushiriki katika maonyesho mbalimbali yanayoratibiwa na wenzao wa Ufaransa ili kujifunza na kuongeza tija katika uhusiano uliopo wa nchi hizi mbili.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Mtalii wa Demark abakwa India
Polisi nchini India wanachunguza kisa cha mtalii mwanamke raia wa Denmark aliyebakwa na genge la watu mjini Delhi.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mtalii anasa kwenye miamba Mlima K’njaro
Mtalii mmoja raia wa Ujerumani, Jeane Traska (32) amenasa katika miamba ya kilele cha Mawenzi cha Mlima Kilimanjaro baada ya kwenda kinyemela eneo hilo ambalo haliruhusiwi kupandwa na watalii isipokuwa kwa ruhusa maalumu.
11 years ago
GPLMTALII KUTOKA UJERUMANI AKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO
Mlima Kilimanjaro. Mtalii kutoka nchini Ujerumani anayefahamika kwa jina la Bi. Jeanne Traska (32) akiwa na muongoza wageni Athuman Juma leo majira ya saa mbili na nusu asubui wamekwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro kwa kamba iliyonasa na kuwafanya wasiweze kushuka chini wala kwenda juu. Bi. Jeanne na Athuman Juma walianza kupanda mlima kupitia Kampuni ya Nordic Tours tarehe 18.3.2014 kwa kutumia njia ya Rongai -...
11 years ago
MichuziNEWZZZ ALERT:KIKOSI CHA UOKOAJI TANAPA CHAMNASUA MTALII ALIYENASA KILELE CHA MAWENZI
HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.
Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza kuwanasua...
MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.
Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza kuwanasua...
10 years ago
MichuziSELFIE
Ankal akipata selfie na wadau wa Globu ya jamii uwanja wa ndege wa Geita gold mines asubuhi hii.
9 years ago
Global Publishers15 Dec
RED Selfie
Kila wiki washindi wawili wanajishindia #SamsungJ2 kupitia @Opera na @VodacomTanzania #REDSelfie
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania