Mtalii wa Demark abakwa India
Polisi nchini India wanachunguza kisa cha mtalii mwanamke raia wa Denmark aliyebakwa na genge la watu mjini Delhi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Abakwa kwa amri ya wazee wa kijiji India
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mtalii anasa kwenye miamba Mlima K’njaro
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Mtalii afa akijipiga ‘selfie’ Taj Mahal
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mtalii kutoka China afa akiogelea Dar
WATU wawili wamekufa maji jijini Dar es Salaam katika Sikukuu ya Krismasi akiwemo mtalii kutoka China aliyekufa wakati akiogelea na wenzake katika Hoteli ya Golden Tullip jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPLMTALII KUTOKA UJERUMANI AKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KtOOH7qN_r8/Uy62GE7x3BI/AAAAAAAFVuM/pAq57oaEXn4/s72-c/New+Picture.png)
NEWZZZ ALERT:KIKOSI CHA UOKOAJI TANAPA CHAMNASUA MTALII ALIYENASA KILELE CHA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KtOOH7qN_r8/Uy62GE7x3BI/AAAAAAAFVuM/pAq57oaEXn4/s1600/New+Picture.png)
MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.
Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza kuwanasua...
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India
Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).
Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar
Wizara ya...