Mtandao wa Hamas wavunjwa
Maafisa Usalama nchini Israel wamevunja mtandao wa Hamas katika Ukingo wa magharibi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKATABA WA SIMBA NA SINGANO WAVUNJWA NA TFF
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'. LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF. Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana. Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano...
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Israel:Tutajilinda na Hamas
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Israel inatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mpango wa muda mrefu katika Gaza.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Hamas:Hatujateka mwanajeshi yoyote
Wapiganaji wa Palestina Hamas wamesema kuwa hawana habari kuhusu mwanajeshi wa Israel ambaye anadaiwa kutekwanyara.
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Wapiganaji wa Hamas waendeleza mapigano
Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi huku jitihada za kusitisha mapigano zikiwa hazijaza amatunda.
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Tumeharibu Mahandaki ya Hamas:Israel
Msemaji wa Majeshi ya Israel amesema wameharibu karibu nusu ya maandaki 30 yanatumiwa na Hamas kuvuka mpaka.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Israel na Hamas kusimamisha mapigano?
Israel na Hamas zimekubaliana na maombi ya Misri ya kusimamisha mapigano kwa siku tatu huko Gaza.
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Misri:Hamas si kundi la kigaidi
Mahakama nchini Misri imefuta hukumu ya awali ambayo ilikitaja chama cha Hamas cha Palestina kama kikundi cha kigaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania