Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wa Hamas wavunjwa

Maafisa Usalama nchini Israel wamevunja mtandao wa Hamas katika Ukingo wa magharibi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKATABA WA SIMBA NA SINGANO WAVUNJWA NA TFF

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'. LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo  mbili zilikutana chini ya TFF. Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF  kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana. Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano...

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel:Tutajilinda na Hamas

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Israel inatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mpango wa muda mrefu katika Gaza.

 

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015

 Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.  Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, na kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hamas:Hatujateka mwanajeshi yoyote

Wapiganaji wa Palestina Hamas wamesema kuwa hawana habari kuhusu mwanajeshi wa Israel ambaye anadaiwa kutekwanyara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Hamas waendeleza mapigano

Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi huku jitihada za kusitisha mapigano zikiwa hazijaza amatunda.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tumeharibu Mahandaki ya Hamas:Israel

Msemaji wa Majeshi ya Israel amesema wameharibu karibu nusu ya maandaki 30 yanatumiwa na Hamas kuvuka mpaka.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel na Hamas kusimamisha mapigano?

Israel na Hamas zimekubaliana na maombi ya Misri ya kusimamisha mapigano kwa siku tatu huko Gaza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri:Hamas si kundi la kigaidi

Mahakama nchini Misri imefuta hukumu ya awali ambayo ilikitaja chama cha Hamas cha Palestina kama kikundi cha kigaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani