Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTANDO WA GPL WATEMBELEA MITAA YA JIJI LA DAR

Taswira ya tukio zima la magari madogo  yaliyogongana bila kusababisha majeruhi yeyote.  Taka ngumu zikiwa zimekwama katika mfereji wa kiwanda…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMERA YA GPL KATIKA MITAA YA JIJI LA DAR

Pea mbalimbali za viatu zikiwa zimening’inizwa kwenye waya wa umeme, kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa wakazi wa eneo hilo la Mkwajuni Kinondoni.
Baiskeli ya magurudumu matatu (guta) ikiwa imebeba vipande vya maeneo ya Buguruni, Dar.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GPL KATIKA MITAA TOFAUTI YA JIJI LA DAR

Athari za mafuriko maeneo ya Ubungo-Extenal. Dereva akiangalia namna ya kupita eneo hili ambapo barabara inatengenezwa.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL IKIRANDARANDA MITAA YA JIJI LA DAR

Feri ya Mv Kigamboni ikiwa mzigoni. Abiria wakitoka maeneo ya Kigamboni wakishuka kutoka kwenye Feri.…

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Vodacom waingia mitaa ya jiji la Dar na"Hello Tanzania"

Mfanyakazi wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom George Rwehumbiza, akiwaelekeza baadhi ya wafanyabiashara wa viatu walioko katika soko la kariakoo namna ya kujiunga na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui. Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa...

 

10 years ago

Michuzi

Uchaguzi Serikali za Mitaa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam

 Mkazi wa karikoo Mashariki  Kata ya Kariakoo Bw. Fumbuka Ditopile akipiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Lumumba ,kwa ajili ya kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa Mitaa akiwemo  Mwenyekiti  na Wajumbe leo jijini Dar es Salaam.

 Mkazi wa karikoo Mashariki  Kata ya Kariakoo akipiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Lumumba  Msimamizi wa upigaji kura, Mwalimu Lucy Buzuka akitoa maelekezo kwa wapiga kura wa Kariakoo Mashariki, Kata ya Kariakoo...

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam,Kamishna Suleiman Kova akifurahi jambo wakati akizungumza na Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar,wakati alipowapokea leo Desemba 4,2014 katika Kituo cha Kati cha Polisi,Jijini Dar es Salaam.Sehemu ya Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Kanda...

 

10 years ago

GPL

KAMERA YA GPL JIJINI DAR LEO

Jamaa huyu alinaswa na kamera yetu maeneo ya Ubungo akicheza na kuimba barabarani. Wahudumu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), wakimsaidia mama mmoja kwa kumuingiza kwenye Bajaj. KAMERA ya GPL leo imewashuhudia wahudumu wa Kanisa la…

 

10 years ago

Michuzi

ZIMAMOTO WA JIJI LA LINZ, AUSTRIA WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi akiongoza kikao wakati Viongozi wa Kikosi cha Zimamoto toka Jiji la Linz, Austria walipotembelea Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Jiji la Linz, Austria Christian Puchner, akimkabidhi Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi mojawapo ya kofia za zimamoto zilizotolewa kama msaada kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji la Tanzania....

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa Modewjiblog watembelea Ubalozi wa Tanzania uliopo jiji la Paris nchini Ufaransa!!

DSC_4727

Mwanahabari mwandamizi wa mtandao huu wa www.modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katikak picha ya pamoja na Afisa Balozi wa Tanzania nchini, Ufaransa, Bi. Grace Akyoo. Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa zinapatikana katika jiji la Paris eneo la Victor Hugo.

[Paris] ni moja ya majiji yenye raha na starehe za kila aina hapa duniani jiji hili lipo nchini Ufaransa ambapo karibu asilimia kubwa limekuwa likipokea wageni mbalimbali kutoka nchi zote Duniani hasa kutembelea kwa misimu yote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani