Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania kutumbuiza British Music Awards, London

Fuatilia hapa LIVE kujua ni nani atapanda jukwaani leo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR

Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia. Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia. Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.… ...

 

9 years ago

Michuzi

FREDDY MACHA KUTUMBUIZA ONESHO LA PICHA ZA WATOTO WA KITANZANIA LONDON

Flyer by Evelina Moceviciute 2015 Mwanamuziki mkazi London, Freddy Macha, anatazamiwa kutumbuiza kwa ngoma na muziki wa gitaa, kwenye tafrija ndogo kutangaza na kuuza picha za watoto wa Kitanzania. Tafrija na maonesho yametayarishwa na wapiga picha watatu wa Kizungu, Amy Read, Evelina Moceviciute na Saraya Cortaville waliofanya kazi za kujitolea Mbeya vijijini mapema mwaka huu. Mauzo ya taswira hizo yatatumika kusaidia maisha na elimu ya watoto hao hao waliopigwa picha. Mradi mzima unaitwa "Ahsante Children"...kutukuza na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar

Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.

Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.

3

Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.

Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM


Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
 Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
 Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur Lusuf...

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete meets British Foreign Secretary William Hague in London today

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets British Foreign Secretary William Hague in his London office this evening. The two leaders then held talks on bilateral issues concerning their two countries.  President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, British Foreign Secretary William Hague and Tanzania’s Minister for Foreign Relations and International Cooperation Bernard Membe pose for a photograph shortly after they met Mr.Hague in his London office this evening.President Kikwete is in London to...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond kutumbuiza kwenye tuzo za ‘Africa Magic Viewers’ Choice Awards’, Lagos Jumamosi hii

Diamond Platnumz amepata shavu lingine la kutumbuiza kwenye sherehe za utoaji wa tuzo za ‘Africa Magic Viewers’ Choice Awards’ (AMVCA 2015), zitakazofanyika Jumamosi hii huko Lagos, Nigeria na kurushwa Live kupitia DSTV. “Waliwasiliana na sisi kwa e-mail, na show itakuwa ni siku ya Jumamosi Tarehe 7,” amesema mmoja wa mameneja wake, Salaam kupitia 255 ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Hawa ni Watanzania wanowania ‘Style & Fashion Awards 2015’ za Uganda, Linah kutumbuiza

linah Ug

Mastaa mbali mbali wa muziki, wabunifu wa mavazi na wana mitindo wa Tanzania wanawania tuzo za ‘Style & Fashion Awards 2015’ (ASFAs) za Uganda. Tuzo hizo zitatolewa December 12 kwenye hoteli ya Serena jijini Kampala, Uganda.

linah Ug

Muimbaji wa Ole Themba, Linah Sanga yuko kwenye orodha ya wasanii waliopangwa kutoa burudani kwenye tuzo hizo. Msanii mwingine atakayetoa burudani ni muimbaji wa RnB kutoka Nigeria Banky W.

Wanaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo ni hawa:

ASFA-1

ASFA-2

ASFA-3

ASFA-4

ASFA-5

ASFA-6

ASFA-7

ASFA-8

ASFA-9

ASFA-10

ASFA-11

ASFA-12

ASFA-13

Jiunge na Bongo5.com...

 

11 years ago

Michuzi

THE TANZANIA ENTERTAINMENT AND LIFESTYLE AWARDS LONDON 2014

The Tanzania entertainment and Lifestyle Awards 2014 formerly known as Bongo Wood movies and Academy Awards 2014 is billed to be a highly regarded and anticipated film and entertainment event within the African communities and is projected to become a part of the UK’s annual cultural calendar.
Through these Awards in the UK, we plan to rebrand the Tanzania movie and entertainment industry with the intention of re-launching itself into the international market on the same...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AKUTANA NA MTANZANIA ALIYESHINDA TUZO ZA COMMONWEALTH MJINI LONDON

Mhe. Bernard Membe (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa na Julius James Shirima, mshindi wa Tuzo ya Vijana wa Nchi za Jumuiya ya Madola upande wa Afrika. Kwenye mazungumzo mafupi, Mhe. Membe alimpongeza Shirima kwa tuzo hizo na aliahidi kumpa ushirikiano kupitia Wizara anayoiongoza ili vijana wengi wa Kitanzania wanufaike na mchango wa Shirima na pia waige mfano wake na kuendelea kupeperusha vema bendera ya Tanzania.Julius Shirima, mshindi wa Tuzo za Vijana wa nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani