Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTARO WA MAJI TAKA CHUO CHA USTAWI WAJENGWA!

Wachimba mtaro wakiendelea na kazi pembeni ya Barabara ya  Shekilango eneo la Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar. ...Wakiendelea na kazi. Muonekano wa barabara ya Shekilango.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu

1

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt Bilal azindua mtambo wa maji taka wa kiwanda cha Serengeti cha Mwanza

IMG_0080

 Makamu wa Rais wa jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akisalimia wananchi wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Maji taka wa Kiwanda cha Serengeti cha mjini Mwanza.(Picha na OMR).

IMG_0058

Makamu wa Rais wa jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib  Bilal akifungua kipazia kuzindua Mtambo wa Maji taka wa Kiwanda cha Serengeti cha Mjijini mwanza kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya kiwanda cha Serengeti.

IMG_0052

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akikatautepe kuzindua mtambo wa...

 

11 years ago

Michuzi

DKT BILAL AZINDUA MTAMBO WA MAJI TAKA WA KIWANDA CHA SERENGETI CHA MWANZA LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akikatautepe kuzindua mtambo wa Maji taka ya kiwanda cha Serengeti cha Mjini Mwanza kulia Mwenyekiti wa Bodi Nehemiah Mchechu kushoto Mkurugenzi Mtendaji Bw Steve Gannon.  Makamu wa Rais wa jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akisalimia wananchi wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Maji taka wa Kiwanda cha Serengeticha mjini Mwanza
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akiwa katika picha ya...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAHAFALI YA CHUO CHA USTAWI WA JAMII DAR

Baadhi wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wakijandaa kuelekea sehemu husika kwa ajili ya sherehe za mahafali zinazofanyika leo katika chuo hicho kilichopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maji taka yaboreshwa, yatumika kilimo cha umwagiliaji

“NCHI za wenzetu kutumia maji safi kwa ajili ya kumwagilia maua au migomba na vitu vingine ni kosa, hivyo lazima wajiunge kwenye mtandao wa maji taka kwa ajili ya kurejeleza...

 

10 years ago

GPL

BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA

Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda


 Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John...

 

10 years ago

GPL

OMBI LA KUPANDA KWA BEI ZA MAJI SAFI NA MAJI TAKA

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ewura, Simon Sayore, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Mhandisi, Mutaekulwa Mutegeki.
 Wadau mbalimbli wakiwa katika mkutano huo.
 Mkutano ukiendelea.…

 

9 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA (DAWASA) MNADA WA HADHARA:

 UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na DAWASA  watauza Magari, Photocopy mashine, na Furniture za ofisi kama zilivyoorodheshwa hapo chini kwa mnada wa hadhara  tarehe 26, September, 2015  Jumamosi saa 4.00 asubuhi. Mnada utafanyika  DAWASA makao makuu  jirani na Hospitali ya Mwananyamala .
MALI ZITAKOZOUZWA: Meza za ofisi, Viti, Book case, Cupboard, File cabinets, 

6 Photocopy m/c {Canon /Sharp} , Computer set, Printer, Scanner, A/c split unit & Window type na grili za milango...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani