Mtawa: Niliishia kuwa Mtazamaji mashindano ya Afrika
Miaka mitano iliyopita, Geofrey Edward Mtawa aliamua kujikita na kuwa mwana judo baada ya kupata mafunzo kutoka kwa kocha wa mchezo huo raia wa Cuba aliyekuja nchini kutoa mafunzo wakati huo akiwa mtumishi wa Jeshi la Magereza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_GrANS25ss/U-kNhLf895I/AAAAAAAF-oU/LVnvF0Vb9dw/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.
Na Rose Masaka-MAELEZO Umoja wa Wapiganaji wa Sanaa ya Mapigano Duniani (UPAM) unaandaa shindano la kimataifa la wapiganaji ambalo linatarajiwa kufanyika nchini kati ya Mwezi Desemba mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao kutokana na ruhusa itakayotolewa na Serikali kwa mamlaka zinazohusika. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa UPAM Prof. Maurizi Mardina alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Profesa Mardina amesema kuwa mchezo wa kupigana ni mchezo mzuri ambao unahitaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 May
Mashindano ya wakimbiaji afrika yaja
Chama cha Riadha nchini Tanzania kimeandaa mashindano maalumu kwa ajili ya kuwapa mazoezi wanariadha .
10 years ago
Michuzi19 Jan
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MASHINDANO YA AFRIKA: Azam, Yanga zapewa neno
>Licha ya kushinda mechi zao za awali dhidi ya wapinzani wao, El- Merreikh ya Sudan na BDF XI ya Botswana, Azam na Yanga zimepewa angalizo zinapojiandaa kwa mechi za marudiano.
11 years ago
Habarileo12 Jan
Mashindano ya tenisi Afrika Mashariki yaanza leo
MASHINDANO ya tenisi ya Vijana ya Afrika Mashariki yanatarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Gymkhana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi16 Aug
TANZANIA MWENYEJI WA MASHINDANO YA 8 YA MAJESHI YA AFRIKA MASHARIKI.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--1r92oX1rO0/U_X2NS38reI/AAAAAAAGBLY/-ZMZhts9VHo/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi mashindano ya Kimataifa ya Wushu
Na Daud Manongi, WHVUM
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa ya mchezo wa Wushu (Kung fu) yatakayofanyika hapa nchi kuanzia tarehe 30 hadi 31 katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Mchezo wa Wushu nchini Mwalami Mitete alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Katika taarifa yake Mwalami alisema kuwa mashindano hayo yatajumuisha...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa ya mchezo wa Wushu (Kung fu) yatakayofanyika hapa nchi kuanzia tarehe 30 hadi 31 katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Mchezo wa Wushu nchini Mwalami Mitete alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Katika taarifa yake Mwalami alisema kuwa mashindano hayo yatajumuisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania