Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTAZAMO/HOJA/NIONAVYO- TAFITI KATIKA VYUO VYA KILIMO KUTIMIZA ADHMA YA UCHUMI WA VIWANDA

Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM
SEKTA ya Kilimo nchini imeendelea kuwa ni Sekta muhimu katika maendeleo ya uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla hususan katika wakati huu tunapojizatiti kufikia uchumi wa viwanda. Katika  kipindi  cha  miaka mitano, Pato la Taifa linalotokana na kilimo, kwa kutumia  bei  za  Mwaka  2015  limeongezeka  kwa asilimia 17 kutoka Tsh. Trilioni 25.2 Mwaka 2015 hadi Tsh. Trilioni 29.5 Mwaka 2019. Vilevile, sekta imeendelea kutoa ajira kwa Watanzania kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Kilimo Lazima Tuongeze Tija na Uzalishaji Ili Kuipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa Viwanda – Waziri Hasunga


Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo pamoja na Idara na Vitengo vya Wizara ya Kilimo uliofanyika Leo Tarehe 7 Machi 2020 Jijini Dodoma. Wengine Pichani ni Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Sehemu ya Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na...

 

5 years ago

CCM Blog

VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs) VIMEFUNGULIWA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa tarehe 21 Mei, 2020.
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...

 

5 years ago

Michuzi

VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi aina ya Tenera unaozalishwa katika shamba la Wakala wa Mbegu (ASA) kituo cha Bugaga wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma hivi leo.  (Habari na Picha Wizara ya Kilimo) .

Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
Katibu ...

 

5 years ago

Michuzi

WAHITIMU VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO, KUELIMISHA WAKULIMA

SERIKALI imewataka wahitimu wa vyuo vya kilimo kote nchini kutumia fursa ya uhaba wa maafisa ugani ulioko nchini kwa kwenda kutoa elimu kwa wakulima na kuanzisha mashamba ya mfano  kwa wakulima

Akiongea wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wakulima mkoani Arusha, Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba amesema kwamba  maafisa ugani   wafungue mashamba ya mfano na watoe huduma kwa wakulima kama sehemu ya kujiajiri   .

“Sasa hivi kilimo kimebadilika wapo watu ambao wanazunguka kuwatafuta...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs)


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa tarehe 21 Mei, 2020.

Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...

 

5 years ago

Michuzi

WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA





Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka  kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.Naibu Waziri Kilimo Mhe. Omari Mgumba akihutubia vijana wakulima wakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA KILIMO ENDELEVU TANZANIA LAKAMILISHA MTALAA MPYA WA KILIMO,VYUO 29 KUANZA KUUTUMIA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii 
SHIRIKA la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) likamilisha mtaala mpya wa kilimo ambao unatarajiwa kuanza kutumia kwenye vyuo vya mafunzo ya kilimo 29 nchini ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha mtaala huo unaendana na mahitaji ya sasa. 
Akizungumza na waandishi wa habari za kilimohai wakati wa mafunzo maalumu ya kilimo hicho, Meneja wa Mradi wa SAT Mgeta Daud amesema mtaala huo wameufanikisha kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Divisheni ya Mafunzo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi wasema tafiti za kilimo haziwanufaishi walengwa

Licha ya Wataalamu kutoka vyuo vikuu nchini kufanya tafiti mbalimbali za kilimo lakini tafiti hizo zimekuwa hazionekani na kutowanufaisha wananchi ambao ni walengwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani