Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtikila: Bunge limegeuzwa mkutano wa CCM

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amepinga uhalali wa Bunge hilo ambalo amelifananisha na Mkutano Mkuu wa CCM.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtikila ‘apiga hela’ mkutano wa Ukawa

Kiongozi wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, juzi alitoa mpya ya aina yake katika Mkutano wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa) pale alipopigia debe kitabu chake ambacho kilinunuliwa kwa idadi kubwa na wajumbe wenzake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtikila acharuka Bunge la Katiba

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amesema atajiuzulu ujumbe katika Bunge Maalumu la Katiba na kwenda mahakamani kama wajumbe wenzake watakataa kuirejesha Tanganyika. Mchungaji Mtikila aliyeteuliwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila asisitiza kupinga Bunge la Katiba

Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amesema mpango wake wa kwenda mahakamani ili kupinga mchakato wa Katiba Mpya, bado uko palepale na kwamba anajipanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge: Mtikila ruksa kwenda mahakamani

BAADA ya mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia kundi la vyama vya siasa, Mchungaji Christopher Mtikila, kutishia kufungua kesi katika mahakama ya kimataifa kuzuia vikao vya Bunge hilo, ameambiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba

>Wajumbe watatu wa Bunge Maalumu la Katiba wamekuwa kivutio katika ndani na nje ya Bunge hilo linaloendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Habarileo

Mkutano wa Bunge kuendelea leo

MKUTANO wa 15 wa Bunge la Bajeti, unaingia wiki ya pili ya vikao vyake, ambavyo wizara zinawasilisha bajeti zake huku leo Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira zikiwasilisha bajeti zake.

 

9 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani