Mtoto abakwa, anyongwa
MWANAFUNZI wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kalangalala mjini hapa (jina limehifadhiwa), anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka nane, amebakwa na kunyongwa usiku wa kuamkia jana nyumbani kwao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQX5tjXvvZopKfVjm4hqn8l5SxA9ESblX*dhupEk545OFAbYb4e8oNJo1KlHRUUb3EG1DBRvVFBb7afFk97oqDz/mke.gif?width=650)
MKE WA MTU ABAKWA, ANYONGWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLaYxggiLaA/VBBUotAI81I/AAAAAAAGijw/zaNIGr-0NRo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MTU MMOJA ABAKWA,ANYONGWA KISHA ATUPWA KICHAKANI HUKO MKURANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLaYxggiLaA/VBBUotAI81I/AAAAAAAGijw/zaNIGr-0NRo/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Bupu kata ya Bupu Tarafa ya Mkamba wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani Forodesi Ntabegera (30) ameuwawa kwa kubakwa kisha kunyongwa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutupwa kichakani.
Kwa mujibu wa taarifa ziliotolewa na kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo Mrakibu Msaidizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa Marehemu kuwa marehemu alinyongwa na watu hao kwa kutumia kitenge chake alichokuwa amekivaa.
Kamanda...
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Mtoto wa miaka 3 abakwa Afghanistan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXCiHu78EKtaS8LMjlA5eFg*mMIMZpfdlVTa0LKWg4qGmMkjXXksS3g3oMO9*Ab5waLTUJLfotvJ0E-AHRNtOaT/mtoto.jpg)
MTOTO MWAKA MMOJA ABAKWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4ytL8cPWxKozC9mtO9EMTg1-MG-*yzbf-kV3oBhqUktRrGNQZiqqZFfGag7fL5lf-15wAM9ppYZPXABoKMzbLjP/mtoto.jpg)
MTOTO ATEKWA, ABAKWA, ATOBOLEWA MACHO
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaar1GVWfR1K7vdlL7IMyDS2A*C5TOX9L2UVrqzpcZceuhPZ2rx-Qxg-VLEglrJzBW8KK36aJ7A2--UsQhJbtohrk/BACKUWAZI.gif)
MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA
10 years ago
Mwananchi24 Dec
NYANZA: Mtoto wa miaka 14 abakwa na vijana watano kwa zamu
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...