MTOTO: POLISI WAMEMGONGA BABA, WAKAMUACHA MTARONI
![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzDTmqmof52ACru8aY7-4GrhzH7DqI2xh*HufxsfpIz4mz*HAkgtkgadr2Dpkv9lfmWqxKTaAAXbzB9lZ6AJ7bK8/Ajali.jpg)
Makongoro Oging’ na Chande Abdallah Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi (60), hali yake ni mbaya kwa kile kinachodaiwa aligongwa na gari la polisi na kuvunjika mbavu, mguu wa kushoto mara mbili pia kakatika utumbo siku ya Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support ya jijini Dar, Octavian Nandi Mpendakazi. Mtoto...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Feb
Polisi auawa akiokoa mtoto asiuawe na baba yake mzazi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/david-05Feb2015.jpg)
Askari Polisi PC Joseph Swai, ameuawa wakati akimwokoa mtoto wa miezi minane, aliyekuwa akiteswa na baba yake mzazi katika mtaa wa Chang'ombe Juu mjini hapa.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime, alisema tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi na kumtaja mtoto aliyekuwa anateswa kuwa ni Valerian Mallya.
Alisema awali, polisi huyo alipigiwa simu na Mtendaji wa mtaa wa Chang'ombe Juu, akimjulisha kuwa amepokea taarifa kutoka kwa Oliva...
5 years ago
CCM BlogMTOTO WA MIAKA 17 MIKONONI MWA POLISI KWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAKE
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, alidai kuwa Mei 31, saa 12 alfajiri Kitongoji cha Manyani, Kata ya Mkalama wilayani Gairo, mtu aliyejulikana kwa jina la Issaya Lameck (41), maarufu kama Kusaganika, fundi Muwashi, aliuawa kwa kupigwa na mtoto wake mwenye miaka 17 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili).
Kamanda Mutafungwa...
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Odama kumuanika baba wa mtoto soon!
Staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ Na Suzan Kayogela.
BAADA ya kukataa katukatu kumuanika baba wa mtoto, staa wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ kwa mara ya kwanza amesema mwaka mpya na mambo mpya na kuwa sasa yupo tayari kumuanika na soon atajulikana.
Tangu ajifungue mtoto wa kiume, Jason miaka takriban miwili iliyopita, Odama alikuwa akikataa kumuweka wazi baba wa mtoto huyo.
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Simba aua baba, mtoto
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoZMXKJh0NS6QL-QC1NYFWPzRAdUetAGbvp1HgbNWR6CenaUHj50htqvhlIeeL8PDo1iK824qCl9QmfPOntsorTP/9000.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYONYONGWA NA BABA WA KAMBO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtp8wWoTZq7iehayGldclp7nxrdx3FU8iLGHM6IxFPhOfP5REH5F0IzjS6rQSmKnG*jBdS4SRqyK3MbIVlge0DaN/UKATILI.jpg?width=650)
MTOTO: BABA AMEUAWA NIKIONA
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
‘Mtoto apate haki ya kumfahamu baba’
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Ezekiel Oluoch, ametaka katiba mpya iweke kipengele cha haki ya mtoto kumfahamu baba yake mzazi. Akichangia mjadala wa jumla kuhusu ibara za sura za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj21Akal30yzh4YKEVchrJ8Ut7O8jxn4A5N5ePBSC3pXz7IK4SmcWgerFU0gzw1GoGG38Mra6vXLLWK03aID9kOi/SNURA.gif?width=650)
SNURA AMWANIKA BABA WA MTOTO WAKE