Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA BECKHAM, SELENA WATABIRIWA KUWA ‘KAPO’ BORA

Brooklyn Beckham akiwa na Selena Gomez. New York, Marekani
MTOTO wa mwanandinga wa zamani wa England, David Beckham, Brooklyn Beckham na Selena Gomez, wiki iliyopita walikuwa kwenye ‘fashion show’ moja huko New York, lakini kitendo cha kupiga picha yenye kuonyesha mahaba fulani, kimewafanya mashabiki wao kusema kama wangekuwa wapenzi, basi ‘kapo’ yao ingebamba. Brooklyn, 16, ambaye ni ‘first...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …

Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]

The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal

Ni ajabu, kwamba safari hii maji hayajafuata mkondo! Mtoto wa nyota wa zamani wa Manchester United na England, David Beckham, Brooklyn amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Arsenal.

 

9 years ago

GPL

MTOTO WA BECKHAM AWA ALAMA YA HESHIMA UINGEREZA IKICHEZA NA SWITZERLAND

Wayne Rooney na mototo wa Beckham, Romeo Beckham. Rooney na Romeo.
Kikosi cha england kikiingia uwanjani. Mchezaji wa soka wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya…

 

9 years ago

Bongo5

David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond

Mwakilishi wa mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham ameiambia Daily Mail kuwa staa huyo hana mpango wowote wa kuigiza kama James Bond. Winga huyo wa zamani wa Manchester United amekanusha ripoti zilizosambaa kuwa ana mpango wa kugombea nafasi ya kuigiza kama James Bond mwakani, licha ya kuwa mashabiki wamejaribu pia kumuomba afanye hivyo. […]

 

9 years ago

Bongo5

David Beckham aonesha furaha yeke ya Zidane kuteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, huu ndo ujumbe alio andika

1704013-36078683-2560-1440

Baada ya klabu ya Real Madrid kutangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu.

1704013-36078683-2560-1440

Mchezaji mwenzake wa zamani David Beckham hakuweza kuficha kuonesha furaha yake kwa kupost picha yao ya zamani na ujumbe wenye kuoneshwa kufurahishwa na nguli huyo wa kifaransa kuchukua mikoba hiyoo.

“Unaweza kumpata mtu bora zaidi yake? mtu ambaye alikuwa bora kiwanjani na...

 

10 years ago

GPL

CHUCHU AWACHARUKIA WANAOIPONDA ‘KAPO’ YAO

Stori: Imelda Mtema MALOVEE! Staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans, amewashukia watu wanaoiponda ‘kapo’ yake na mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ na kusema hata iweje, mambo yao yatakwenda kama walivyopanga. Staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans. Chuchu alisema katika maisha ya mwanadamu kama Mungu amepanga kitu siku zote kitatimia hivyo anaamini wanaopinga uhusiano wao kwa maneno ya chinichini na kwenye mitandao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK achaguliwa kuwa Rais Bora Afrika

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amechaguliwa kuwa kiongozi mwenye mchango mkubwa zaidi katika maendeleo barani Afrika kwa mwaka 2013. Heshima hiyo kwa Rais Kikwete imetolewa na...

 

9 years ago

Habarileo

MO achaguliwa kuwa mfanyabiashara bora wa Afrika

MFANYABIASHARA kijana wa Tanzania, Mohammed Dewji ‘Mo’ wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Ltd (MeTL), ametwaa tuzo ya Mfanyabiashara Bora wa Afrika kwa mwaka huu akiwapiku washindani wenzake wanne akiwemo tajiri wa Afrika, Aliko Dangote.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuelimishane kuwa walimu bora wa Kiswahili

Yako mawasiliano ambayo yamejitokeza kuhusu uandishi wa makala na habari katika magazeti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani