Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA RAIS ANASWA AKIPIMA 'NGOMA'

Na Issa Mnally
MTOTO wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Salmin Amour aitwaye Amini Salmin, Februari 14 mwaka huu alinaswa akipima Ugonjwa wa Ukimwi ‘ngoma’ katika kituo cha ushauri nasaa cha  AMREF Makao Makuu kilichopo Upanga, jijini Dar, Amani linakujuza. Mwandishi wetu alimshuhudia Amini akiwa katika kituo hicho kupima ugonjwa huo katika siku hiyo ambayo huadhimishwa kama Siku ya Wapendanao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAN'TANGAZE: MAMA'KE DIAMOND ANASWA NYUMBANI KWA WEMA

Na Waandishi Wetu KANTANGAZE! Hiyo ndiyo kauli pekee inayoweza kuakisi picha za tukio la Beautiful Onyinye, Wema Sepetu akiwa na ‘mkwewe’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ wakiwa pamoja nyumbani kwa staa huyo wa filamu Bongo, Kijitonyama jijini Dar. Beautiful Onyinye, Wema Sepetu akimnawisha Diamond Platinum kwa ajili ya kupata futari. Kwa mara ya… ...

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

11 years ago

GPL

BIBI WA 'MTOTO WA BOKSI' ALIMLILIA MJUKUU WAKE

Bibi wa mtoto Nasrah Rashid, Bi. Asha Abdallah akilia kwa uchungu baada ya kupata taarifa za msiba wa mjukuu wake huko nyumbani kwake maeneo ya Mafisa mkoani Morogoro. Kushoto ni mwanae Khadija Hamisi. Bi. Asha akiwa na simanzi kwa kuondokewa na mjukuu wake Nasrah aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akitibiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar.…
...

 

10 years ago

GPL

'MTOTO WA NDEGE ZANZIBAR' AANIKA UCHAWI WAKE

Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima SAKATA la mtoto Happiness (10) aliyetikisa kwa tukio la kupanda ndege kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Zanzibar bila kujulikana  limeibuka tena, safari hii katika sura mpya kufuatia mtoto huyo kufungua kinywa chake na kuanika mambo ya kichawi, Uwazi lina mkanda mzima. Mtoto Happiness  (10) anayeishangaza jamii kwa matukio ya kimazingara. Mtoto huyo aliyaanika mambo hayo mwishoni mwa...

 

10 years ago

GPL

MTOTO TABIA MKULUKUTE ALIYEFARIKI JANA BAADA YA KUGONGWA NA GARI BUNJU 'A' , KUZIKWA LEO

 Mtoto Tabia aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Bunju  A ambaye aligongwa na gari (mwenye gauni la njano) enzi ya uhai wake.   Gari la  Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju 'B' Abdillah Mkeyenge lilivyo haribiwa  Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju 'B' Abdallah Mkeyenge  akizungumza na wanahabari namna ambavyo mkasa huo… ...

 

10 years ago

GPL

MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI

MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ROMY JONES TANGU 'LONG TIME' KITAMBO

Na Musa Mateja
Kwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika. Picha tofauti wakati wa utoto wao. Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim...

 

11 years ago

GPL

BAADA YA KIPIGO CHA 4-0, EKOTTO AMTWANGA 'NDOO' MWENZAKE

Benoit Assou-Ekotto (kulia) akimsogelea mwenzake Benjamin Moukandjo baada ya kipigo cha 4-0 kutoka kwa Croatia usiku wa kuamkia leo. Benoit Assou-Ekotto akimtwanga 'ndoo' Moukandjo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani