Mtu aliyetabiri mwisho wa dunia afariki
Kiongozi mmoja wa dini ambaye alipata umaarufu nchini Kenya kwa kutabiri mwisho wa dunia mwaka 2006 amefariki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw2yC3sq0IIR00Ad6ZnkHlC8PYv5WLR*gP2FpZbyQ09GfZG3PBDgZrEZjIQDzcCFjjicRy45ERx3cSNg0w6-GUT/kamandadiwanathuman.jpg)
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
11 years ago
Michuzi16 Jul
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IsOU70ZsQeY/VU5AMzI688I/AAAAAAADmMg/EdzV-hhTeXA/s72-c/IMG-20150509-WA0002.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki
9 years ago
StarTV21 Dec
Ajali ya basi igunga Mtu mmoja afariki, 38 wajeruhiwa
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 38 kujeruhiwa baada ya Basi la Allys Coach lenye namba za usajili T 560 AKM lililokuwa likitokea Igunga kuelekea Mwanza kuyumba na kuanguka katika kijiji cha Igogo kata ya Nanga wilayani Igunga Mkoani Tabora.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 12 na nusu asubuhi na chanzo chake kikidaiwa kuwa ni mwendo kasi wa dereva kutaka kulipita gari la mizigo.
Ajali hizi zimekuwa zikigharimu maisha ya watu na wengine kuwaachia ulemavu wa kudumu,sababu zikielezwa ni...
10 years ago
StarTV29 Dec
Mtu mmoja afariki, wengine 21 wajeruhiwa katika ajali Singida
Na Emmanuel Michael, Singida.
MTU mmoja amefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Kosta walilokuwa wakisafiria kutoka Shinyanga kwenye harusi kurejea nyumbani Morogogo kupinduka mkoani Singida.
Ni wakati wa mwingine ambapo mkoa wa Singida umejawa na simanzi na huzuni baada ya kushuhudia mtu mmoja aliyepoteza maisha na wengi 21 wakilazwa kwa matibabu kutokana na ajali ya barabarani.
Mkuu wa Wilaya ya Singida Queen Mlozi ni miongoni mwa viongozi wa kwanza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO6LKjOBfqaG1veMSE8QQdGXKjIf9Vs7Qwt28WVqiUkmHt0OkM70N0KkPSEjBy8mNrCnVh6sVZunBKPouT9uENTN/utabiri.jpg?width=650)
MWISHO WA DUNIA WATAJWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1dV-7-6HUChqKNWigRv8bMqWB37V*QqyzhIVUj43zq2LHF5ZQYYePIpBnJMG5vYsMOZFMcYwAxAbs9h0nDsb2j/1MWISHO.jpg?width=650)
MWISHO WA DUNIA DALILI ZAANZA