Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWISHO WA DUNIA DALILI ZAANZA

NA WAANDISHI WETU ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel & Bible Fellowship (FGBF) lenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam, Zakaria Kakobe ameibuka na kuweka wazi kuwa kuonekana kwa Mwezi Mwekundu (Blood Moon),   Aprili 15, mwaka huu ni ishara kuu ya mwisho wa dunia kama maandiko yanavyosema katika Matendo 2:17-21, Uwazi linakumegea kwa kina. Askofu Kakobe aliyasema hayo juzi kufuatia tukio hilo lililojiri siku tano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia

>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.

 

11 years ago

GPL

MWISHO WA DUNIA WATAJWA

Stori: Mwandishi Wetu na Mitandao
WAKATI binadamu wakiendelea na mipango yao ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kimazingira, kiulinzi na usalama, utabiri mpya wa kutisha unaonesha kuwa mwaka 2032 ndiyo mwisho wa sayari hii ya tatu katika mfumo wa jua. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali katika mitandao ya internet, sayari iitwayo Nibiru, ambayo kisayansi inafahamika kama Planet X ipo njiani kuigonga dunia na hivyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu aliyetabiri mwisho wa dunia afariki

Kiongozi mmoja wa dini ambaye alipata umaarufu nchini Kenya kwa kutabiri mwisho wa dunia mwaka 2006 amefariki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ni miaka ishirini tangu waumini 700 kujiteketeza Uganda kwa kuamini ni mwisho wa dunia

Waumini wa kanisa la Amri za Mungu nchini Uganda, walioamini kuwa mwaka 2000 ndio mwisho wa dunia hivyo wakaamua kujiteketeza kwa moto.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndoto za Maya zaanza kutimia

Wiki iliyopita tuliona namna ambavyo Maya ameanza kukubalika kwenye nyumba ya Lim kutokana na kuonyesha mapenzi ya hali ya juu kwa Abby, hali inayomfanya kukubaliwa ombi lake la kurudi shule.

 

9 years ago

CCM Blog

FOMU ZA USPIKA ZAANZA KUTOLEWA


Fomu Za Kuomba Uspika Na Naibu - 11.11.2015

 

10 years ago

BBCSwahili

Kura zaanza kuhesabiwa Burundi

Shughuli ya kuhesabu Kura imeanza nchini Burundi kufuatia uchaguzi wa urais ambao umeshutumiwa na wengi nchini humo na hata kimataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani