Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndoto za Maya zaanza kutimia

Wiki iliyopita tuliona namna ambavyo Maya ameanza kukubalika kwenye nyumba ya Lim kutokana na kuonyesha mapenzi ya hali ya juu kwa Abby, hali inayomfanya kukubaliwa ombi lake la kurudi shule.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar zaanza rasmi kwa usafi wa mazingira

Kazi za usafi wa mazingira kwenye maeneo tofauti Nchini katika kuanza rasmi kwa maadhimisho ya sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimeonekana kuitikiwa vyema na Wananchi walio wengi pamoja na vikosi vya ulinzi hapa Nchini. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alijumuika na Wananchi hao kwa kazi za usafishaji wa Mtaro wa maji machafu unaokusanya maji kutokea mitaa ya Muembe Njugu, Kwahani, Kariakoo, Kilimani na Kumalizikia Pwani ya Kilimani. Akimuelezea...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Ndoto ya Nyerere kutimia Oktoba

>Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema matamanio ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ya kuwaletea Watanzania mabadiliko waliyoyakosa ndani ya CCM yanaenda kutimia katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: One Six — Maya

Video mpya kutoka kutoka kwa msanii One six ngoma inaitwa “Maya” Video imeongozwa na Erick Backamaza

 

11 years ago

Dewji Blog

Maya Angelou Dies at 86

mayaangelou

Renowned writer, actress and civil rights activist Maya Angelou has died, according to CNN. She was 86.

Angelou died at her home in Winston-Salem, N.C., her publicist said. Her son posted teh following statement on Facebook: “Her family is extremely grateful that her ascension was not belabored by a loss of acuity or comprehension. She lived a life as a teacher, activist, artist and human being. She was a warrior for equality, tolerance and peace. The family is extremely appreciative of...

 

11 years ago

GPL

MAYA: ATAKAYENIOA ATAFAIDI

Na  Hamida Hassan
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema licha ya kuwa bado hajaolewa lakini atakayemuoa atafaidi mapishi yake kwani ni fundi wa kupika. Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alifunguka hayo juzikati wakati paparazi wetu alipombananisha juu ya uwezo wake kwenye ‘sekta’ ya mahanjumati ndipo alipofunguka kuwa yeye ni hodari katika eneo hilo. “Wee… mi noma...

 

10 years ago

GPL

MAYA: SIJAPOTEZWA KISANAA

Stori: Gladness Mallya Mnanikosea! mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa watu wanaomsema kuwa amepotezwa kisanaa wanamkosea kwani anafanya sanaa kwa malengo. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Maya alitoa kauli hiyo wikiendi iliyopita baada ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni kuwa amepotezwa kisanaa na wasanii chipukizi kiasi cha kumfanya asisikike kama...

 

10 years ago

GPL

MAYA: MIMI SIYO MGUMBA

Gladness Mallya MSANII mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kwamba siyo mgumba wala hana gundu ila ni muda tu haujafika wa kuzaa au kuolewa. Maya aliyasema hayo kutokana na maneno ya watu wanaomuandama kwamba hazai na ana gundu ndiyo maana haolewi ambapo alisema siyo kweli ila anasubiri wakati ukifika atazaa kwani ana uzazi na hajawahi kutafuta mtoto na kumkosa. “Bado sijapata...

 

11 years ago

GPL

MAYA ALIA NA WANAUME WAKWARE

Stori: Erick Evarist MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa anashindwa kufikiria suala zima la ndoa kwani wanaume wengi ni waongo ‘wakware’. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Akipiga stori na safu hii, Maya alisema umefika wakati hata ndoa zenyewe zinakuwa chache kwani uaminifu haupo ndiyo maana amekuwa makini  katika eneo hilo....

 

11 years ago

GPL

MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE

Stori: imelda Mtema Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto kwani wote anawaona ni waluwalu. Staa wa Bongo Buvi Mayasa Mrisho, alimaarufu 'Maya'. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani