Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtumishi ‘adakwa’ akiondoka na dawa

Walinzi wawili wamemkamata mtumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Geita, kwa kile kinachodaiwa kuwa alikuwa akitorosha dawa alizochukua katika wodi za wagonjwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mmarekani adakwa na dawa za kulevya

Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimemtia mbaroni Raia wa Marekani, Kobina Danso (22) akiwa na kilo tatu za dawa za kulevya aina ya Heroine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini

Polisi wilayani Rufiji, mkoani Pwani inamshikilia mtumishi wa hospitali ya wilaya ya Rufiji (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za wizi wa makopo 48 ya dawa za antibiotic katika hospitali hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Adakwa na gramu 5,000 za dawa za kulevya Z’bar

>Jeshi la Polisi limefanikiwa kumkamata Ali Suleiman Rashid (34) akiwa na mikoba 14 ya wanawake aliyohifadhia dawa za kulevya zenye uzito wa kilo tano akitokea Oman katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume visiwani humo.

 

9 years ago

MillardAyo

Mapaparazzi wakamnasa Mourinho kwenye hii video akiondoka uwanjani baada ya kufukuzwa kazi Chelsea

December 17 uongozi wa club ya soka ya Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho baada ya kuongoza Chelsea mechi 16 msimu huu, kufungwa tisa, kushinda nne na kutoa sare mechi tatu. Mourinho alipelekewa taarifa za kufutwa kwake kazi akiwa uwanjani akifanya mazoezi na timu ambapo Waandishi wa habari wasioacha tone la […]

The post Mapaparazzi wakamnasa Mourinho kwenye hii video akiondoka uwanjani baada ya kufukuzwa kazi Chelsea...

 

9 years ago

MillardAyo

Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso …

Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu hatma ya aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho kuendelea au kutoendelea kukiknoa kikosi hicho kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu, December 17 uongozi wa Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha huyo. Jose Mourinho alifutwa kazi baada ya kuongoza […]

The post Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso … appeared first on...

 

10 years ago

Mtanzania

Vicky Kamata adakwa polisi

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata

MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.

Chanzo ncha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.

Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Adakwa akienda kutupa kichanga!

IMG-20151216-WA0001 Kichanga kilichotaka kutupwa  na mama yake.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Wakati watu wengi wakisaka watoto kwa udi na uvumba, mama anayejulikana kwa jina la Ruth, mkazi wa Mbezi jijini Dar amenusurika kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kumdaka akiwa kwenye harakati za kutaka kumtupa mtoto baada ya kujifungua.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio, siku ya tukio, Desemba 14, mwaka huu, majira ya saa 2 asubuhi, walimuona Ruth ambaye alikuwa mjamzito akilalamika kuwa tumbo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mliberia adakwa na Heroine JNIA

>Raia wa Liberia, Deocntee Togbah amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam akiwa na kilo moja ya dawa za kulevya aina ya Heroine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke Mtanzania adakwa na kilo 74 za unga

Dar es Salaam. Matukio ya Watanzania kukamatwa nje ya nchi wakiwa na dawa za kulevya zilizopigwa marufuku yanazidi kukithiri baada ya mwanamke mmoja kukamatwa na kilo 74 za dawa aina ya ephedrine kwenye Uwanja wa Ndege wa Mumbai, India.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani