Muhimbili Yaendelea Kupokea Misaada
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo imepokea msaada wa vifaa mbalimbali vitakavyotumika kuwahudumia wagonjwa katika hospitali hiyo.
Msaada wa vitanda kumi utatumika katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) pamoja na wodi nyingine. Msaada huo umetolewa na Jumuiya ya Australia na Tanzania.
Vifaa vingine vilivyotolewa ni pamoja na Stretcher’ nne zitakazotumika kusafirishia wagonjwa ambao hawawezi kukaa, kifaa cha kufanyia mazoezi kwa wagonjwa na baiskeli ya magurudumu matatu.
Akipokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Uturuki kupokea misaada zaidi.
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Mtoto anayelisha familia aanza kupokea misaada
BAADA ya gazeti hili kuandika makala kuhusu mtoto Hamad Nuruabeid (4) anayeishi Mkata Mashariki, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga ambaye analisha familia yake kwa kuokota chupa tupu za maji, ameanza...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...
10 years ago
VijimamboBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WA MUHIMBILI
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WALIOLAZWA MUHIMBILI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s72-c/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
JUMUIYA YA MABOHORA YAENDELEA KUPELEKA MISAADA HOSTELI YA MAGUFULI KUPAMBANA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s19pUmlvTxs/XpQPTeZYt3I/AAAAAAALm1A/9tO8qRUCtmwpfVE6Q6KwfjJ8gJzrZETggCLcBGAsYHQ/s640/d8a5498d-1d4c-4cab-b975-c04c2e043734.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nV743Ng5Hu4/XpQPTQJHdEI/AAAAAAALm1E/-LKX_nCKg0IMCPO0cT2t9yE6F0WyD96igCLcBGAsYHQ/s640/32846d15-3fce-43e2-9ca5-05f96b16cad0.jpg)
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Ujerumani kupokea wakimbizi milioni 1.5
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10