Muimbaji wa Chamber Squad Mez B afariki dunia
Muimbaji wa kundi la Chamber Squad, Maze B, amefariki leo saa nne asubuhi, kwa mujibu wa mtu aliyekuwa akimuuguza. Msanii huyo aliyewahi kufanya vyema na wimbo wake ‘Fikiria’ alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Mwananchi mjini Dodoma. Mez B aliyezaliwa kwa jina la Moses Bushagama alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pneumonia. Hivi karibuni aliongea na E-News […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Mez B afariki Dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MEZ B AFARIKI DUNIA LEO DODOMA
10 years ago
Vijimambo20 Feb
MSANII MEZ B AFARIKI DUNIA LEO DODOMA
![](http://api.ning.com/files/cGEsfZahF3v21JSeEu73srVOoCxhPMpPVIAO*sxCvpifgZaBCdfCdBsuE86Gi9bsXA17BQz5hjFBex1zjYHksFZA7-bcP1jm/MezB1.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo529 Sep
Muimbaji wa ‘Hujafa Hujaumbika’ na ‘Usidharau Usiyemjua’ Side Boy afariki dunia
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s72-c/MEZ-B2.jpg)
JUST IN: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA,MEZ B AFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s1600/MEZ-B2.jpg)
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mwanakatwe afariki dunia
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa Shirikisho la Soka Tanzania – TFF), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe amefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali Kuu ya...
10 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.